Msaada wa kupata kazi, nimesomea Ualimu

Msaada wa kupata kazi, nimesomea Ualimu

Laufelix

Member
Joined
Jan 9, 2021
Posts
25
Reaction score
23
Habari wana JF mimi ni binti wa miaka 24 natafuta kazi ya aina yoyote ile nitafanya iwe tu halali.

Elimu yangu nimemaliza chuo mwaka jana kozi ya ualimu kwa masomo ya kiingereza yaani literature na linguistic UDSM.

Lakini nitafanya kazi yoyote itakayopatikana naombeni msaada wenu tusaidiane connection jamani[emoji120][emoji120][emoji3590]
 
Nje ya kufundisha, unaweza kufanya kazi gani nyingine?
 
Habari wana JF mimi ni binti wa miaka 24 natafuta kazi ya aina yoyote ile nitafanya iwe tu halali.

Elimu yangu nimemaliza chuo mwaka jana kozi ya ualimu kwa masomo ya kiingereza yaani literature na linguistic UDSM.

Lakini nitafanya kazi yoyote itakayopatikana naombeni msaada wenu tusaidiane connection jamani[emoji120][emoji120][emoji3590]
Kuna office walikua wanahtaji secretary wa kike, Lakn kama kawaida yako unavonifanyiaga cku zote!!!! nakupigia smu hupokei, ukipokea unasema ww sie mwenye simu au unampa mdogo ako niongee nae na sms hujibu.

Kwa jins unavonifanyia najikuta kukumbuka wimbo wa Psquare kuna verse anasema "YOU REJECTED MY LOVE BCOZ A WAS BROOOKE" though sijawah kukutamkia kwamba nakupenda but I know you already know,

Life will never be the same, Amini leo unaniona hapa kazini nafanya kazi ya hovyo na sometimes unaniona kama looser fulani hivi. lakn sitoifanya cku zote. Haya n mapito tu!!! Life has got ups&downs.

Amini siku ile umenikataza nisije kukuona iliniumuza sana but thats life.

Ok...I wish u all the best.
 
Kuna office walikua wanahtaji secretary wa kike, Lakn kama kawaida yako unavonifanyiaga cku zote!!!! nakupigia smu hupokei, ukipokea unasema ww sie mwenye simu au unampa mdogo ako niongee nae na sms hujibu.

Kwa jins unavonifanyia najikuta kukumbuka wimbo wa Psquare kuna verse anasema "YOU REJECTED MY LOVE BCOZ A WAS BROOOKE" though sijawah kukutamkia kwamba nakupenda but I know you already know,

Life will never be the same, Amini leo unaniona hapa kazini nafanya kazi ya hovyo na sometimes unaniona kama looser fulani hivi. lakn sitoifanya cku zote. Haya n mapito tu!!! Life has got ups&downs.

Amini siku ile umenikataza nisije kukuona iliniumuza sana but thats life.

Ok...I wish u all the best.
Ruge tulia hukooooooo
 
Back
Top Bottom