Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 310
- 1,100
Mm yangu nilipata ila inahitaji uvumilivu sanaJamani maisha magumu na akiba haiyeyuki kirahisi, Nilifanya kazi sehemu moja ni private kama 5 yrs ago so sikuwahi fatilia mafao yangu sasa baada ya jua kali la DSM nikaona nipitie nichungulie kama mzigo upo Mungu mkubwa mzigo niliukuta full.
Sasa nikaulizia process gani nifate ili niweze kupata stahiki zangu.[emoji24] Nikachoka campuny ilishakufaga muda sana baadhi ya docment ni ngumu kupata.
Mwenye uwezo wa kunisaidia AJE PM TUTAISHI KIBOSI NARUDIA TUTAISHI KIBOSI.
LOCATION DSM
Ulitumia muda gani mkuu??Mm yangu nilipata ila inahitaji uvumilivu sana
Acha uvivu taratibu zipo wazi zifuate utapata pesa Yako.Jamani maisha magumu na akiba haiyeyuki kirahisi, Nilifanya kazi sehemu moja ni private kama 5 yrs ago so sikuwahi fatilia mafao yangu sasa baada ya jua kali la DSM nikaona nipitie nichungulie kama mzigo upo Mungu mkubwa mzigo niliukuta full.
Sasa nikaulizia process gani nifate ili niweze kupata stahiki zangu.[emoji24] Nikachoka campuny ilishakufaga muda sana baadhi ya docment ni ngumu kupata.
Mwenye uwezo wa kunisaidia AJE PM TUTAISHI KIBOSI NARUDIA TUTAISHI KIBOSI.
LOCATION DSM
Ayo ni mawazo yako mkuuAcha uvivu taratibu zipo wazi zifuate utapata pesa Yako.
Hakuna pspf siku hizi Kuna psssfJamani maisha magumu na akiba haiyeyuki kirahisi, Nilifanya kazi sehemu moja ni private kama 5 yrs ago so sikuwahi fatilia mafao yangu sasa baada ya jua kali la DSM nikaona nipitie nichungulie kama mzigo upo Mungu mkubwa mzigo niliukuta full.
Sasa nikaulizia process gani nifate ili niweze kupata stahiki zangu.[emoji24] Nikachoka campuny ilishakufaga muda sana baadhi ya docment ni ngumu kupata.
Mwenye uwezo wa kunisaidia AJE PM TUTAISHI KIBOSI NARUDIA TUTAISHI KIBOSI.
LOCATION DSM
Toka mwezi wa 4 mwaka jana had mwezi wa 10 mwaka janaUlitumia muda gani mkuu??
Mkuu njoo inbox nikupe mbinu za kutoa mafao yako... njia nilitumia mm hauto toa miaJamani maisha magumu na akiba haiyeyuki kirahisi, Nilifanya kazi sehemu moja ni private kama 5 yrs ago so sikuwahi fatilia mafao yangu sasa baada ya jua kali la DSM nikaona nipitie nichungulie kama mzigo upo Mungu mkubwa mzigo niliukuta full.
Sasa nikaulizia process gani nifate ili niweze kupata stahiki zangu.[emoji24] Nikachoka campuny ilishakufaga muda sana baadhi ya docment ni ngumu kupata.
Mwenye uwezo wa kunisaidia AJE PM TUTAISHI KIBOSI NARUDIA TUTAISHI KIBOSI.
LOCATION DSM
Duuh parefu miezi 6 hiyo mkuuToka mwezi wa 4 mwaka jana had mwezi wa 10 mwaka jana
Nipe mbinu mkuuMkuu njoo inbox nikupe mbinu za kutoa mafao yako... njia nilitumia mm hauto toa mia
Inbox....kuna siri unaweza mwaga hapa kumbe wenyewe wapo hapahapa kesho ukienda wakakugomeaNipe mbinu mkuu
Sawa mkuu nakujaInbox....kuna siri unaweza mwaga hapa kumbe wenyewe wapo hapahapa kesho ukienda wakakugomea
Cheki inboxMkuu njoo inbox nikupe mbinu za kutoa mafao yako... njia nilitumia mm hauto toa mia