Msaada wa kupata mafuta ya kutengeneza sabuni za miche kwabgharama nafuu

Msaada wa kupata mafuta ya kutengeneza sabuni za miche kwabgharama nafuu

Hapa itabid kusubir msimu wa mawese
Hutakiwi subiri msimu uishe, watakiwa uangalie uzalishaji wakp, mahitaji yako kisha ujipange kwa kuweka stock ya PO, PKO

Msimu huanza October hadi April
 
Hutakiwi subiri msimu uishe, watakiwa uangalie uzalishaji wakp, mahitaji yako kisha ujipange kwa kuweka stock ya PO, PKO

Msimu huanza October hadi April
Hapo umenena mkuu nalifanyia kazi
 
wakuu kichwa habari kinasomeka, nimeamua kujikwamua kwa kuanza kutengeza sabuni za miche, changamoto kuu nayoipitia ni upatikanaji kwa malighafii hii kwa gharama kubwa hasa ya mafuta.

Kiasi kwamba faida nashindwa kuipata kabisa.

Msaada kwayeyote mwenye kufahamu wapi naweza kupata mafuta haya kwa gharama nafuu iwe ya kutoka nje au ndani ya Nchi.

Karibuni ndugu kwa msaada.
Mkuu habari.

Kama unaweza(na umesema ndani au nje ya nchi),

1. Agiza mafuta ya kupikia yaliyotumika, wanaita "Used Cooking Oil (UCO)". Ukiagiza kutoka nje nahisi yanakuja yameshachujwa tayari.

AU

2. Unaweza pitia katika migahawa mikubwa na mahotel, ukaweka oda ya mafuta yaliyotumika, wewe unayachuja na kutumia katika shughuli yako/zako.
 
Mkuu habari.

Kama unaweza(na umesema ndani au nje ya nchi),

1. Agiza mafuta ya kupikia yaliyotumika, wanaita "Used Cooking Oil (UCO)". Ukiagiza kutoka nje nahisi yanakuja yameshachujwa tayari.

AU

2. Unaweza pitia katika migahawa mikubwa na mahotel, ukaweka oda ya mafuta yaliyotumika, wewe unayachuja na kutumia katika shughuli yako/zako.
Mkuuu naomba hii connection kupata haya mafuta used kutoka nje ili niweze kufanya ivo
 
Bado sijaisajili ndo karibuni nafanya usajili ili niwe huru
Ukiingia huko ndio faida hutoiona kabisa hasa kwa wajasiriamali wadogo; bora ubaki kwa level ya sido tu; huku watu wa mazingira, kodi n.k watakuyumbisha sana, na kama sasa hujakamilisha hivyo vitu na faida huioni; ukija ukikamilisha ni full kuendesha biashara kwa (-)
 
Mkuuu naomba hii connection kupata haya mafuta used kutoka nje ili niweze kufanya ivo
Mkuu, connection nitakudanganya tu.
Jaribu kuanza hapa hapa Tanzania mkuu. Ukiweza na kutaka kukua zaidi, itabidi ufanye uchunguzi kule china, maana nilisoma juzi kati hapa kwamba wao ni moja wazalishaji na wasafirishaji wa mafuta yaliyotumika ya kupikia.
 
Ukiingia huko ndio faida hutoiona kabisa hasa kwa wajasiriamali wadogo; bora ubaki kwa level ya sido tu; huku watu wa mazingira, kodi n.k watakuyumbisha sana, na kama sasa hujakamilisha hivyo vitu na faida huioni; ukija ukikamilisha ni full kuendesha biashara kwa (-)
Ahsanteh ndugu kwa ushaurii huu kumbe nilikua naenda kujizika kabisaa MUNGU akubariki
 
Mkuu, connection nitakudanganya tu.
Jaribu kuanza hapa hapa Tanzania mkuu. Ukiweza na kutaka kukua zaidi, itabidi ufanye uchunguzi kule china, maana nilisoma juzi kati hapa kwamba wao ni moja wazalishaji na wasafirishaji wa mafuta yaliyotumika ya kupikia.
Ahsanteh ngoja nifuatilie umenipa wazo la kulifanyia kazi barikiwa sana
 
Kama soko liko la uhakika, na uko ukanda wa kaskazini; tunaweza kushea abc
 
Karibu mkuu ila nipo kanda ya Kati, nitashkuru kushare na ww
Kanda ya kati.
Umejaribu kuulizia mafuta kutoka viwanda vidogo vya wajasiria mali? Nahisi kwa singida, mafuta ya alizeti kwa jumla, haitozidi 3500shs kwa lita moja.
Jaribu huko mkuu.
 
Kanda ya kati.
Umejaribu kuulizia mafuta kutoka viwanda vidogo vya wajasiria mali? Nahisi kwa singida, mafuta ya alizeti kwa jumla, haitozidi 3500shs kwa lita moja.
Jaribu huko mkuu.
Mafuta yanayofaa ni yale yenye asili yakuganda
 
Back
Top Bottom