monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 830
- 1,449
Sijawahi tumia saund bar mkuu hebu nipe sifa zakeKwa sasa watu wanahama kutoka Subwoofer kwenda Soundbar..
Japo sound bar ni bei juu kidogo lakini itafaa na ni ya kisasa zaidi ya Subwfr
WanakujaSijawahi tumia saund bar mkuu hebu nipe sifa zake
Hizo ni sabwoofer auNina sayona nlinunua 2011 iko ngangari mpka leo, pia kuna moja inaitwa regal bado iko bomba toka 2014
YapHizo ni sabwoofer au
Jbl bidhaa zao ni bei mnoJbl soudbar kitu iko vzuri mkuu. Sema kabei kamechangamka kiaina
ndio hvyoJbl bidhaa zao ni bei mno
Budget yangu ni 200k lengo ni sabwoofer ambayo naweza kukaa nayo zaidi ya miaka miwili bila ya misukosuko ya kupeleka kwa fundiSasa mkuu watakusaidia vipi bila kusema budget yako, watakuletea sound bar za milioni 10 hapa.
Ununua soundbar za kichina.Budget yangu ni 200k lengo ni sabwoofer ambayo naweza kukaa nayo zaidi ya miaka miwili bila ya misukosuko ya kupeleka kwa fundi
Hakuna kitu inaitwa hivyo hapa duniani.sabwoofer
Tafuta JBL.Nilishawahi kutumia sabwoofer ya boss ikazingiua baada ya miezi 3 nikanunua sean piano nayo baada ya miezi sita yaleyale uwezo wa kununua home theater sina je naweza nunua sabwoofer gani ambayo inaweza kudumu hata miaka miwili bila tatizo
Kizuri ni gharamaJbl bidhaa zao ni bei mno
Hakuna kitu hapo