iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 4,412
- 8,198
Hizi na sunder ni subwoofer au takataka tu.. subwoofer za hawa zinakoroma kama chura kakanyagwa na mguu wa tembo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi na sunder ni subwoofer au takataka tu.. subwoofer za hawa zinakoroma kama chura kakanyagwa na mguu wa tembo..
Tafuta muziki wa Yamaha, Pioneer, JBL, Sony au LG hakikisha tu ni Original na bei yake yamoto inabidi ujipange haswa ila ukinunua ndo mkataba huo.. tofauti na hapo utanunua makelele kama ya virabu vya pombe za kienyeji.Nilishawahi kutumia sabwoofer ya boss ikazingiua baada ya miezi 3 nikanunua sean piano nayo baada ya miezi sita yaleyale uwezo wa kununua home theater sina je naweza nunua sabwoofer gani ambayo inaweza kudumu hata miaka miwili bila tatizo
Nilishawahi kutumia hiyo kati ya sabwoofer mbovu basi hiyo ni mojawapo