Manyinyi 1
New Member
- Mar 21, 2018
- 1
- 1
Habari za leo ndugu zangu,
Mwenzenu naomba ushauri na njia ya kupata wafadhili mimi ni muandaaji wa filamu za hapa Kwetu kupitia mawazo ya watu niliamua kusajili kampuni kwa lengo la kufanya uandaaji na usambazaji wa filamu na hii ni baada ya kufanya utafiti nchi nzima kuanzia Wilaya mpaka mkoa nikarudi sasa kujiandaa nikitegemea nifanye filamu nne 4 nikauze alafu nijiweke wazi ni pate vijana wakushirikiana nao yaani wasio na ajira na wenye utalaamu pia soko lipo na watu wanapenda sana filamu zetu kwakuwa nazingatia ubora wa kazi pia na wakati tuliliopo watu wanataka nini,
Lakini Hali ikabadirika upande wa wasambazaji ila sijakata tamaa kwakuwa kampuni ipo Ombi langu nikaona niwashirikishe huenda mkanisaidia kupanuana mawazo nikapata wawekezaji kwani sijabadili mawazo kwakuwa Utafiti wangu nikaona ninamna gani sanaa inalipa kwakuwa haihitaji mchezo nanikabaini Tanzania ina wasanii wengi sana tusipoingiza mambo mengine.
Sawa wadau nasubiria mawazo Endelevu Asanteni.
Mwenzenu naomba ushauri na njia ya kupata wafadhili mimi ni muandaaji wa filamu za hapa Kwetu kupitia mawazo ya watu niliamua kusajili kampuni kwa lengo la kufanya uandaaji na usambazaji wa filamu na hii ni baada ya kufanya utafiti nchi nzima kuanzia Wilaya mpaka mkoa nikarudi sasa kujiandaa nikitegemea nifanye filamu nne 4 nikauze alafu nijiweke wazi ni pate vijana wakushirikiana nao yaani wasio na ajira na wenye utalaamu pia soko lipo na watu wanapenda sana filamu zetu kwakuwa nazingatia ubora wa kazi pia na wakati tuliliopo watu wanataka nini,
Lakini Hali ikabadirika upande wa wasambazaji ila sijakata tamaa kwakuwa kampuni ipo Ombi langu nikaona niwashirikishe huenda mkanisaidia kupanuana mawazo nikapata wawekezaji kwani sijabadili mawazo kwakuwa Utafiti wangu nikaona ninamna gani sanaa inalipa kwakuwa haihitaji mchezo nanikabaini Tanzania ina wasanii wengi sana tusipoingiza mambo mengine.
Sawa wadau nasubiria mawazo Endelevu Asanteni.