Mr Kazembe
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 386
- 514
ni njia gani atatumia kunisafirishia naomba njia au hata msaada unaoweza nifanikisha kaka yangu kunisafirishia bidhaa hioo
Naomba namba zako za simu inboxMuhimu ya kujua
- Nitakupa address yangu ya USA, New York.
- Utampatia naye atatuma huo mzigo, kwa kuwatumia USPS, na utapokelewa NY.
- Then nitawajibika kuhakikisha mzigo umekufikia mahala ulipo | Mkoani au wilayani ulipo hapa Tanzania.
- Hakuna malipo yeyote anayopaswa kulipia kabla, utaratibu utafanyika wa kusafirisha na malipo yote yatafanyika Baada ya mzigo kufika nchini wakati wa clearance.
- Gharama ya usafirishaji | inatokana na uzito wa package husika.
- Mzigo ukifika nchini |Wanaweza dai VAT haijalishi kama ni zawadi ( hivyo ni kufahamu hili mapema).
Nimeandika mawasiliano hapa | Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa |Naomba namba zako za simu inbox