rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Nimetumiwa mzigo kutoka US ambao umeenda kushushiwa kenya badala ya tz. Nimetumiwa sms kuwa mzigo umeshafika kenya.
Msaada wa taratibu za jinsi ya kuupata na gharama za kuusafirisha hadi hapa bongo kwa njia ya airport.
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada wa taratibu za jinsi ya kuupata na gharama za kuusafirisha hadi hapa bongo kwa njia ya airport.
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app