msaada wa kusigniwa certificate of character!!

msaada wa kusigniwa certificate of character!!

baby wa kitaa

Member
Joined
Oct 22, 2013
Posts
65
Reaction score
26
bandugu!!baada ya kusota kwa miaka kadhaa kuutafuta uwakili hatimaye mwenyezi mungu amejibu maombi na juhudi zangu!nimefaulu mtihani wangu wa law school!tatizo ni kuwa natakiwa kusigniwa certificate of character na petition na advocate aliyefanya kazi kwa angalau miaka mitano!!!nimfuate nani kwa hilo!bandugu msaada!!
 
Kwanza usituharibia lugha, ni kusainiwa sio kusigniwa.
Pamoja na kusoma law xul bado unahitaji kuelekezwa kwa advocate? Law xul yenyewe ina waalimu ambao ni advocates kwa zaidi ya miaka hyo mitano, sasa sijui unatafuta nn huku.
Hilo wenge la ku clear aisee!!
 
Kwanza usituharibia lugha, ni kusainiwa sio kusigniwa.
Pamoja na kusoma law xul bado unahitaji kuelekezwa kwa advocate? Law xul yenyewe ina waalimu ambao ni advocates kwa zaidi ya miaka hyo mitano, sasa sijui unatafuta nn huku.
Hilo wenge la ku clear aisee!!

umemaliza Mkuu.
 
wewe unataka utuambie kuwa umefaulu wala hakuna lingine
 
Ndugu yangu vyovyote vile kufalu raha bwana.watu anajua kwa fault backfired eti!
 
Kama hujui umfuate wakili nani, bila shaka ulifaulishwa na siyo kufaulu!
 
Kama hujui umfuate wakili nani, bila shaka ulifaulishwa na siyo kufaulu!

Ukiniambia niendelee kuwategemea walionifundisha unataka kuniambia nisipanue wigo wangu wa kufahamiana na wanataaluma wenzangu wengine.
 
wewe unataka utuambie kuwa umefaulu wala hakuna lingine

Yani asome sheria miaka yote hiyo ya undergraduate...pamoja na law school.Asipate kumjua hata wakili mmoja? 👍 kweli alitaka tujue amefaulu.
 
Back
Top Bottom