Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,118
MSAADA WA KUUZA DENI KWA HARAKA 30 mln
Tunafanya biashara ya kukopesha pesa kwa Riba, Pana wateja wetu tunaowadai na bahati mbaya na sisi tumejikuta tuna mapungufu ya pesa kwa haraka pia tokana na mikataba yetu na wateja inahitaji kusubiri kama mwezi mmoja tu, tumeongea na mteja mmoja amekubali kuhamia popote hilo deni lake ili sisi tuuze na tuweze kupata hizo peta,, tafadhali kwa yeyote alie tayari atujulishe na tutamuachia faida ya kutosha kutoka kwa mkataba huo
Tunafanya biashara ya kukopesha pesa kwa Riba, Pana wateja wetu tunaowadai na bahati mbaya na sisi tumejikuta tuna mapungufu ya pesa kwa haraka pia tokana na mikataba yetu na wateja inahitaji kusubiri kama mwezi mmoja tu, tumeongea na mteja mmoja amekubali kuhamia popote hilo deni lake ili sisi tuuze na tuweze kupata hizo peta,, tafadhali kwa yeyote alie tayari atujulishe na tutamuachia faida ya kutosha kutoka kwa mkataba huo