msaada wa kuzuia mimba

msaada wa kuzuia mimba

tricecriss

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
225
Reaction score
59
Habari zenu nyote.naomba mnisaidie jinsi ya kuzuiaimba kwa njia ya asili.
 
Ukifikia climax mwaga vyombo nje, hii itakusaidia pia stamina na long lasting sex, kwakuwa bandugu akitapikia ndani anakosa nguvu kabisa akitoka yuko hoi bin taabani huwa ni ngumu kuunga route mpaka upumue Kidogo, lakini ukipaisha magoli ngoma hailali
 
Habari zenu nyote.naomba mnisaidie jinsi ya kuzuiaimba kwa njia ya asili.

jitambulishe jinsia, umri, umeoa au kuolewa....una watoto, na sababu ya kutaka kuzuia Mimba n ipi, is it spacing, delaying or limiting pregnancy
 
Tunaomba kuitambua jinsia kwanza ili tusije kuonekana tumekutusi.

nimejaribu kuifanya iwe short na yakueleweka na kama kutukana utakuwa umeamua kama si kawaida yako.kama mwanaume anabeba mimba we tukana utakavyo.
 
jitambulishe jinsia, umri, umeoa au kuolewa....una watoto, na sababu ya kutaka kuzuia Mimba n ipi, is it spacing, delaying or limiting pregnancy

mi sione kama hivyo vitu ulivyotaka nijitambulishe vinamata sana,kwa kifupi natarajia kuolewa na nimjauzito,
 
Ukifikia climax mwaga vyombo nje, hii itakusaidia pia stamina na long lasting sex, kwakuwa bandugu akitapikia ndani anakosa nguvu kabisa akitoka yuko hoi bin taabani huwa ni ngumu kuunga route mpaka upumue Kidogo, lakini ukipaisha magoli ngoma hailali

shukrani mr mshana
 
nimejaribu kuifanya iwe short na yakueleweka na kama kutukana utakuwa umeamua kama si kawaida yako.kama mwanaume anabeba mimba we tukana utakavyo.

Unapoulizwa swali jibu vzuri, kuzuia Mimba si kazi ya upande wa mwanamke au wanaume tu na ushaur pia unatofautiana.....so jibu maswali hayo juu
 
mi sione kama hivyo vitu ulivyotaka nijitambulishe vinamata sana,kwa kifupi natarajia kuolewa na nimjauzito,

sasa kama unaujauzto unataka kuzuia nn tena....ndio maana nikauliza nn dhumun lako la kutaka kutumia njia za uzazi wa mpango ....rudia post yang hapo
 
Back
Top Bottom