Msaada wa Land Rover Discovery 2 TD5

Msaada wa Land Rover Discovery 2 TD5

Baba Jazey

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
500
Reaction score
556
1595223771517.png

Wapendwa poleni kwa majukumu

Naomba kujua mambo ya msingi kwa gari tajwa hapo juu

1. Ulaji wa mafuta

2. Upatikanaji wa spea

3. Magonjwa ya mara kwa mara

4. Uimara wa gari hasa kwenye bara bara za vumbi

Natanguliza shukran
 
Engine ya Td 5 ni nzuri kwenye speed na ulaji mzuri wa mafuta. Tatizo lake kubwa ni kuwa ikipata shida huwezi kujua shida yake hadi upate diagnosis machine, sasa kama imepata shida mikoani, itabidi ulikokote gari hadi mjini.

Nasikia hata machine zenyewe waliopewa hiyo haki ni CMC pekee, hivyo lazima CMC ndio wakuhudumie na bei zao sio mwafaka kwa watu binafsi.

Kitu unachoweza kufanya ni kuwa ikianza kusumbua, unaitoa na unapachika Tdi.

Vv
 
Ingawa hujataja model ya LR D2 TD5 kuhusu spare zinapatikana kwa wingi Dar es salaam ila kama ujuavyo hakuna feki n OG bei imechangamka kidogo ila kwa sasa dunia n Kijiji unaagiza kwa bei nafuu tu hasa ukiwa na shop and ship account itakurahisishia.

Ushauri wangu nunua ya Diesel TD5. Hili gari lina ulaji mdogo sana wa mafuta tofauti na LR D1 na ina engine ina compressions kubwa inayoifanya hiyo gari kukimbia sana na very stable barabarani.

Tofauti na D1 , TD5 inamwonekano mzuri sana . Hii ni all weather car kaka, iwe rough Road au lami twende kazi.

Hii ina umeme mwingi tofauti na Generation ya kwanza D1.

Iwapo utakuwa bado unahitaji kuingia family ya LR na kipato n kidogo, tafadhali Chukua LR D1 ukiipata ughaibuni agiza. Hii gari n Economy kuanzia spare zake, mafuta na stable sana barabarani mhm iwe na TDI300 Diesel's engine.

Nami n mmoja wa watumiaji wa LR D1
 
Ingawa hujataja model ya LR D2 TD5 kuhusu spare zinapatikana kwa wingi Dar es salaam ila kama ujuavyo hakuna feki n OG bei imechangamka kidogo ila kwa sasa dunia n Kijiji unaagiza kwa bei nafuu tu hasa ukiwa na shop and ship account itakurahisishia.

Ushauri wangu nunua ya Diesel TD5. Hili gari lina ulaji mdogo sana wa mafuta tofauti na LR D1 na ina engine ina compressions kubwa inayoifanya hiyo gari kukimbia sana na very stable barabarani...
Ufafanuzi tafadhali tofauti yake nini (ukiweka na picha itapendeza zaidi)
 
Ingawa hujataja model ya LR D2 TD5 kuhusu spare zinapatikana kwa wingi Dar es salaam ila kama ujuavyo hakuna feki n OG bei imechangamka kidogo ila kwa sasa dunia n Kijiji unaagiza kwa bei nafuu tu hasa ukiwa na shop and ship account itakurahisishia.

Ushauri wangu nunua ya Diesel TD5. Hili gari lina ulaji mdogo sana wa mafuta tofauti na LR D1 na ina engine ina compressions kubwa inayoifanya hiyo gari kukimbia sana na very stable barabarani...
Nashukuru kwa ushauri wako mzuri, kama autojali hiv kwa td5 ya diasel ulaji wake wa mafuta ukoje.
 
Nashukuru kwa ushauri wako mzuri, kama autojali hiv kwa td5 ya diasel ulaji wake wa mafuta ukoje.
[/QUOTE

TD5 ulaji wake wa mafuta ni kidogo sana. Zote TDI300 and TD5 zote ulaji wake wa mafuta n mzuri sana ila TD5 n unakula kidogo zaidi huku ikiwa gari yenye nguvu sana. Kitu ambacho ni aghali kwa TD5 n spare parts basi lkn issue mafuta wala sio ya kuwazia
 
Nashukuru kwa ushauri wako mzuri, kama autojali hiv kwa td5 ya diasel ulaji wake wa mafuta ukoje.


TD5 ulaji wake wa mafuta ni kidogo sana. Zote TDI300 and TD5 zote ulaji wake wa mafuta n mzuri sana ila TD5 n unakula kidogo zaidi huku ikiwa gari yenye nguvu sana. Kitu ambacho ni aghali kwa TD5 n spare parts basi lkn issue mafuta wala sio ya kuwazia
 
TD5 ulaji wake wa mafuta ni kidogo sana. Zote TDI300 and TD5 zote ulaji wake wa mafuta n mzuri sana ila TD5 n unakula kidogo zaidi huku ikiwa gari yenye nguvu sana. Kitu ambacho ni aghali kwa TD5 n spare parts basi lkn issue mafuta wala sio ya kuwazia
Kuna Defender Td 5, hii spare Parts zake ni sawa na Defender Tdi 300, tofauti ni kwenye engine na gear box tu.

Vv
 
Engine ya Td 5 ni nzuri kwenye speed na ulaji mzuri wa mafuta. Tatizo lake kubwa ni kuwa ikipata shida huwezi kujua shida yake hadi upate diagnosis machine, sasa kama imepata shida mikoani, itabidi ulikokote gari hadi mjini...
Je, engine za TDI zenye uhakika zinapatikana maeneo gani hapa DAR, maana wajanja wamekuwa wengi.
 
Je, engine za TDI zenye uhakika zinapatikana maeneo gani hapa DAR, maana wajanja wamekuwa wengi.


Aisee kuna jamaa alikuwa nazo maeneo ya Buguruni, n direct from UK na bei ilikuwa 4.2m. Nikikumbuka Jina au namba yake nakutumia. Temeke utapata za Shinyanga
 
wapendwa kwa Arusha ni wapi kunamafundi wazuri wa hiz gari land rover discovery td5
 
Back
Top Bottom