Nenda anoxa hotel jiran na uwanja wa furaisha, villa park, rock city mall unaenda kwa miguu. Bei ni ndogo sana elf 25 tu unapata breakfast ya buffet mpaka unasaza, unafuliwa na kunyooshewa nguo free hata kama begi zimaWenyeji wa Mwanza naomba msaada wa kujua lodge nzuri ya kufikia Mwanza Mjini. Nina safari ya Mwanza hivi karibuni ila sina uzoefu wa wenyeji wa mjini.
Naomba anayefahamu Lodge nzuri anisaidie kujua kufahamu ila iwe mjini au maeneo ya jirani na mjini.
Ahsante.
Muwe mnataja na beiRock Beach resort!! Pale bwana unaweza hisi uko Miami Beach mamtoni!! Ni fukweni mwa ziwa victoria
Njia panda ya mwaloni pale unaingia kulia mita Kama 30 tu Bei nakumbuka Ni kuanzia 25-40 Ni nzuri pia Kuna la Liga ipo nyasaka hutajutia Bei 25-30 Ni executive pia Kuna moja ipo kiloleli full ac 25, feni 20 Safi full huduma.Tuelekeze ili wapi?
40 ya mtoto wa cdf....cdf ndo nan na inafanyika lini?Njia panda ya mwaloni pale unaingia kulia mita Kama 30 tu Bei nakumbuka Ni kuanzia 25-40 Ni nzuri pia Kuna la Liga ipo nyasaka hutajutia Bei 25-30 Ni executive pia Kuna moja ipo kiloleli full ac 25, feni 20 Safi full huduma.
Angalizo Mwanza so far ni ipo loaded Kuna Mambo mengi yanaendelea in case unakuja Oda mapema ugeni mkubwa Hadi 13 Dec Ni mkubwa kitaifa ukimwi day, shimiwi, 40 ya son wa cdf, 9 Dec and son on and so forth
Ni pazuri sana afu asubuhi unapata breakfast ina supu pamoja na matunda mchanganyiko kwa 35,000/= tu, mwaka huu tena nilipita hapo nikakuta wanapafanyia marekebishoNdo hapo Nera...
Of course pazuri....labda wanataka wapafanyie marekebisho...Ni pazuri sana afu asubuhi unapata breakfast ina supu pamoja na matunda mchanganyiko kwa 35,000/= tu, mwaka huu tena nilipita hapo nikakuta wanapafanyia marekebisho
Wenyeji wa Mwanza naomba msaada wa kujua lodge nzuri ya kufikia Mwanza Mjini. Nina safari ya Mwanza hivi karibuni ila sina uzoefu wa wenyeji wa mjini.
Naomba anayefahamu Lodge nzuri anisaidie kujua kufahamu ila iwe mjini au maeneo ya jirani na mjini.
Ahsante.
Ndg nimekupa ratiba ya kuwa mji upo loaded mpaka tarehe hizo mengineyo tulia40 ya mtoto wa cdf....cdf ndo nan na inafanyika lini?
Aisee sawa bhana nimetulia..Ndg nimekupa ratiba ya kuwa mji upo loaded mpaka tarehe hizo mengineyo tulia
Aden sio 85k mkuu?Nenda ADEN
Fika Buzuruga uliza bodaboda yeyoteIko mahala gani mkuu, na bei yake
120,000/= inategemea na msimu kama ni sikukuu wanapandisha beiAden sio 85k mkuu?
Nikiwa Mwanza huwa siulizi mtaa. Iko njia ya kwenda Airport mkono wa kuliaTaja eneo na bei mkuu
Ipo sehemu gani hii?Rock Beach resort!! Pale bwana unaweza hisi uko Miami Beach mamtoni!! Ni fukweni mwa ziwa victoria
Haya ahsante mvinaNenda anoxa hotel jiran na uwanja wa furaisha, villa park, rock city mall unaenda kwa miguu. Bei ni ndogo sana elf 25 tu unapata breakfast ya buffet mpaka unasaza, unafuliwa na kunyooshewa nguo free hata kama begi zima
Usihangaike sana victoria lodge ndio ipo katika kbs ya jiji na bei ni ya kawaida na ukiwa hapo ofc zote za serikal kufika ni rahic sana kuliko huko nyegezi inakuwa mbali na mjiWenyeji wa Mwanza naomba msaada wa kujua lodge nzuri ya kufikia Mwanza Mjini. Nina safari ya Mwanza hivi karibuni ila sina uzoefu wa wenyeji wa mjini.
Naomba anayefahamu Lodge nzuri anisaidie kujua kufahamu ila iwe mjini au maeneo ya jirani na mjini.
Ahsante.
Ni pembezoni mwa ziwa victoria, maeneo ya kamanga ferry!! Ukiwa town centre kwa boda boda ni buku jero tu. Vile vile kuna daladala, nadhani zinazotoka capripoint zinapita hapo!! Bwana hutajutia kuwa hapo!!ukishazoea hata kwa miguu unakwenda tu, unakuja hadi nyamagana stadium, unashuka hadi kamanga ferry, unafuata barababa inayokwenda kushoto unapanda nayo tu, pembezoni mwa ziwa, kama mita mia mkono wako wa kulia utaiona ipo kwenye mawe mawe!!Ipo sehemu gani hii?