luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Wadau kwema
Mkoko wangu aina ya Raum new model izi za 2007 una shida iyo taja, mwenye kujua shida hii nii solve vipi ..maana ata nikibadilisha bulb bado low beam hazimuliki chini vizuri kwa ule mwanga unaotakiwa
Kitu ambacho kimenifanya nitumie high beam ata nikiwa town route za usiku , hii kidogo ina ni kwqnza maana sometimes unakutana na mwamba akikupiga high beam zake lzm uombe POO !
Mkoko wangu aina ya Raum new model izi za 2007 una shida iyo taja, mwenye kujua shida hii nii solve vipi ..maana ata nikibadilisha bulb bado low beam hazimuliki chini vizuri kwa ule mwanga unaotakiwa
Kitu ambacho kimenifanya nitumie high beam ata nikiwa town route za usiku , hii kidogo ina ni kwqnza maana sometimes unakutana na mwamba akikupiga high beam zake lzm uombe POO !