schneider
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 770
- 641
Habari za majukumu wakuu wenye ujuzi wa afya na wenye matatizo ya afya pia.
Kama kilivyo kichwa cha habari nasumbuliwa na macho kwa miaka mingi sasa na tatizo kubwa ni kuwa na macho mekundu ilo si kubwa sana kwa sababu naishi mijini labda niisiwe bangi.
Kubwa kabisa mara nyingi yanawasha na kutoa machozi kuna kipindi mwanga wa ghafla machozi yananitoka kwa wengi na kwa muda mrefu pia kuna kipindi ilikuwa nikianza kutizama tv tu kwanza yatoke machozi nikisha yafuta ndio niendelee na kuangalia.
Naomba msaada ndugu zanguni natanguliza shukrani nyingi sana.
Kama kilivyo kichwa cha habari nasumbuliwa na macho kwa miaka mingi sasa na tatizo kubwa ni kuwa na macho mekundu ilo si kubwa sana kwa sababu naishi mijini labda niisiwe bangi.
Kubwa kabisa mara nyingi yanawasha na kutoa machozi kuna kipindi mwanga wa ghafla machozi yananitoka kwa wengi na kwa muda mrefu pia kuna kipindi ilikuwa nikianza kutizama tv tu kwanza yatoke machozi nikisha yafuta ndio niendelee na kuangalia.
Naomba msaada ndugu zanguni natanguliza shukrani nyingi sana.