wale wa kukaa muda mrefu wanacheza gemu kwenye kompyuta wanakutwa sana na haya mambo.
Na wale wanaonunua miwani mitaani na kuvaa tu kama fashion wakidhani ni urembo au wapendeze kumbe wanaharibu macho.
punguza kuona tv, pc na hata simu usiitumie gizani.
msosi mkuu, matunda, machungwa, mapapai, maembe kwa sana, maji mengi.
usiku lala muda wa kutosha, angalau sa5 uwe ushalala, ukifanya hivyo wiki hata 2 tu, utaona mabadiliko.