Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,483
- 6,257
Asante. Ukipata nafasi/ukirudi home naomba urushe picha ya kopo lake, Nikienda dukan nisije uziwa fake/tofautiMkuu mwenyewe hapa mwanaume yanuzwa kati ya 6000 na 7500 haizidi hapo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante. Ukipata nafasi/ukirudi home naomba urushe picha ya kopo lake, Nikienda dukan nisije uziwa fake/tofautiMkuu mwenyewe hapa mwanaume yanuzwa kati ya 6000 na 7500 haizidi hapo mkuu
Iyo hapo ipo na nyingine ni blue magic km magicAsante. Ukipata nafasi/ukirudi home naomba urushe picha ya kopo lake, Nilienda dukan nisije uziwa fake/tofauti
Mlolongo ndo hii kakaIyo hapo ipo na nyingine ni blue magic km magic View attachment 1649558View attachment 1649559
DAX KOCATAHBinafsi nimekuwa nikitumia DAX KOCATAH above everything else yana coconut oil na tar oil .Yanaondoa tatizo la mba na kutibu tatizo la dry scalp .
Pia weusi wake hufanya nywele zionekane nyeusi zaidi na zenye afya .
nitayatafuta mkuuMkuu mi nilikuwa na nywele kipilipili ila baada ya kuanza kutumia BLUE MAGIC ORIGINAL Indian hemp mambo ni mswano kabisa