Msaada wa maombi mazito, Mama anaangamia!

Habari jamani, naombeni sana msaada wenu JF kwa mwenye ujua juu ya hili nina mama, anasumbuliwa sana na maradhi ya mgongo na na chembe ya moyo, Hospitali tumeshindwa msaada wa maombi ndugu zangu kwani hata kulala wala kutembea hawezi..
Nenda kwenye tiba za mitishamba ( sio waganga wa kienyeji), eg pale hindul mandal opposite kuna natural herbalist kajaribu , watu wanapasifia
 
Kuna mama mmoja yuko chanika jaribu kwenda ni mzuri sana ila ijumaa na j'mosi hayupo 0719090441
 
Pole sana mkuu Mungu amjalie apone
 
Habari jamani, naombeni sana msaada wenu JF kwa mwenye ujua juu ya hili nina mama, anasumbuliwa sana na maradhi ya mgongo na na chembe ya moyo, Hospitali tumeshindwa msaada wa maombi ndugu zangu kwani hata kulala wala kutembea hawezi..
mgongo unamuumaje...nani sehemu gani ya mgongo inamuuma
 
Habari jamani, naombeni sana msaada wenu JF kwa mwenye ujua juu ya hili nina mama, anasumbuliwa sana na maradhi ya mgongo na na chembe ya moyo, Hospitali tumeshindwa msaada wa maombi ndugu zangu kwani hata kulala wala kutembea hawezi..

Mkuu, mama Amepima moyo? Kama hajapima moyo fanyeni utaratibu apimwe moyo(afanye kipimo cha moyo kabisa sio presha) maana kwahizo dalili...

Ukikuta tatizo ni moyo ni pm
 
mgongo unamuumaje...nani sehemu gani ya mgongo inamuuma
Habari jamani, naombeni sana msaada wenu JF kwa mwenye ujua juu ya hili nina mama, anasumbuliwa sana na maradhi ya mgongo na na chembe ya moyo, Hospitali tumeshindwa msaada wa maombi ndugu zangu kwani hata kulala wala kutembea hawezi..
kuna magonjwa mengine ni kwa sababu ya umri,mlisha fanya xrays, scan or mri...kama unazo jaribu namba hii ni dr mzuri sana...0682 959 000...specialists katika magonjwa ya viungo,....daktarii poa sana muelezee matatizo yako
 
Habari jamani, naombeni sana msaada wenu JF kwa mwenye ujua juu ya hili nina mama, anasumbuliwa sana na maradhi ya mgongo na na chembe ya moyo, Hospitali tumeshindwa msaada wa maombi ndugu zangu kwani hata kulala wala kutembea hawezi..

Pole sana dada.

Mpeleke yeye/nguo yake kwenye maombi, cha muhimu uwe na kiu + imani ya kupokea uponyaji.

1. Kuna Kanisa la kiinjili karibu na chuo cha udereva(NIT) pale mabibo. Kuna mama alikuwa amekata tamaa akalala kitandani akisubiri kufa, dada mmoja alimchukua akampeleka huko, akiwa kwenye foleni ya kuonana na huyo mtumishi akapata kuponywa. Mama huyu alinisimulia yeye mwenyewe.

2.Kuna kanisa pale buguruni, banda la mabati kwa Mzee Salu. Nimesikia wengi sana wanakwenda pale na MUNGU anawaponya.

3. Tafuta mawasiliano na Mwl. Mwakasege, huduma ya MANA au wasaidizi wake, hawa unawezakuwapata kirahisi Arusha au Dar es salaam. Unfortunately, sina mawasiliano yao.

4. Fuatilia vipindi vya TB Joshua, kisha ungana nao katika maombi kwa imani. Ni vizuri ukiwa umeshikilia nguo ya unayemwombea/waombea kwa wakati huo.
 
Habari jamani, naombeni sana msaada wenu JF kwa mwenye ujua juu ya hili nina mama, anasumbuliwa sana na maradhi ya mgongo na na chembe ya moyo, Hospitali tumeshindwa msaada wa maombi ndugu zangu kwani hata kulala wala kutembea hawezi..
Pole sana kwa kuumwa na mama yako nitafute mimi nipate kumtibia apate kupona. Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Mungu akamponye mama majeraha yake na kumrudishia afya yake
 
Kama hujajarib tiba mbadala kajaribu na huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…