umenifurahisha,kwa hiyo unawapa ujanja wajifanye walokole.angalau umejishtukizia kuwa hujatulia.ndiyo.unaweza ukapata lakini unatakiwa uwe mvumilivu kwasababu wanawake wengi wa jf wanajifanya matawi halafu ni staki nataka.usihofu wengi ni masingo na wametendwa sana karibia wote.so usiwaonyeshe makucha.we jifanye mlokole utapata tu.mi nilikuwa naye humuhumu ila kwa sasa kanitema.alinishitukia sijatulia.ila nshachoma.mia
Unaweza ila kama upo serious, kuna wengine tunawaona tu wanaomba wachumba hawarudi kusema wamepata au wamekosa
Kuna mmoja alishajitangaza humu anatafuta mwanaume legelege wa kumlea. Kama nawe ni legelege jaribu kum-PM tafadhali.ni hilo kwa sasa wadau naombeni maoni
Vipi kisukari na wewe ulishakuwa mhanga wa wadonoaji??? Pole sana.kupata utapata.nina amini wasichana wanakuwa serious kwenye mahusiano,ila nyie wakaka mnapenda kudonoa donoa
preta kwann unasema hivyo hata kama nina nia ya dhati?
sina majibu mabaya mkuu unanielewa vibaya.ulishawahi ona najibu kwa matusi?anyway ntajirekebisha.miaSijui umemwagwa wewe siku hz unamajibu mabaayaa
mkuu utambulisho ni muhimu.naomba ututambulisho mkuu.mianishapata muda mrefu. Unahitaji utambulisho?
Bado upoo tubonge?
<br />ni hilo kwa sasa wadau naombeni maoni
<br />ni hilo kwa sasa wadau naombeni maoni