Msaada wa maoni: Naweza kupata mke kupitia JF?

Msaada wa maoni: Naweza kupata mke kupitia JF?

Kwa mawazo yangu huwezi kupata mke hapa kwani wengi wao Wanachama wa hii JAMII FORUMS wanajifanya wanawake kumbe ni midume kama wewe,nakushauri tafuta sehemu nyingene sio humu kwenye JAMII FORUMS huwezi kupata Mwanamke humu ndani. Mimi niliwahi kumtongoza Mwanachama fulani bint fulani basi alinijia juu kama mkungu wa ndizi unavyosimama na nikimsalimia hanijibu nakushauri usipoteze muda wako kutafuta mke humu ndani hutopata kamwe Yakhe.
 
kafiganiga acha ukicheche, umechoma mia ,umeenda kupima HIV/AIDS. Basi unao na utakufa na umalaya wako. mhuni mkubwa wee. mambo yako ya kishamba.
 
naamini ukienda taratibu unaweza kupata apo ukikurupuka huwezi kupata ambaye ni sahihi
 
kafiganiga acha ukicheche, umechoma mia ,umeenda kupima HIV/AIDS. Basi unao na utakufa na umalaya wako. mhuni mkubwa wee. mambo yako ya kishamba.
nmeenda kupima.ukimwi sina nilikuta nilikutwa na mafua tu.sasa dada angu,unataka ukicheche nmwachie nani?nyie mumeumbwa kwa ajiri yetu tena ubavuni mwetu.uzuri mnajitongozesha wenyewe.ukija nikakataa siyo haki.naona huruma sana.ila usiniige mimi.huwa nacondomize.wape hi!jirani zako hapo cbe.ntakuja kuwashika.mia
 
Kwa mawazo yangu huwezi kupata mke hapa kwani wengi wao Wanachama wa hii JAMII FORUMS wanajifanya wanawake kumbe ni midume kama wewe,nakushauri tafuta sehemu nyingene sio humu kwenye JAMII FORUMS huwezi kupata Mwanamke humu ndani. Mimi niliwahi kumtongoza Mwanachama fulani bint fulani basi alinijia juu kama mkungu wa ndizi unavyosimama na nikimsalimia hanijibu nakushauri usipoteze muda wako kutafuta mke humu ndani hutopata kamwe Yakhe.

kidogo hapo kwenye red Mzizi ututake radhi.......
 
Wewe futa mawazo yako,nenda waptrick na gmail chart utapata thz is da home of greater thnker.
Hii taarifa nitampa demu wako wa pale karibu na dukani.
Nimwambie?
 
mbona hujasema wewe mwenyewe una umri gani? na unataka mke wa umbo gani?
 
Kwa mawazo yangu huwezi kupata mke hapa kwani wengi wao Wanachama wa hii JAMII FORUMS wanajifanya wanawake kumbe ni midume kama wewe,nakushauri tafuta sehemu nyingene sio humu kwenye JAMII FORUMS huwezi kupata Mwanamke humu ndani. Mimi niliwahi kumtongoza Mwanachama fulani bint fulani basi alinijia juu kama mkungu wa ndizi unavyosimama na nikimsalimia hanijibu nakushauri usipoteze muda wako kutafuta mke humu ndani hutopata kamwe Yakhe.

Hahahahahah lol! Dah MM! ulijiwa juu kama mkungu wa ndizi! hahahahahahah 🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom