Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
nmeenda kupima.ukimwi sina nilikuta nilikutwa na mafua tu.sasa dada angu,unataka ukicheche nmwachie nani?nyie mumeumbwa kwa ajiri yetu tena ubavuni mwetu.uzuri mnajitongozesha wenyewe.ukija nikakataa siyo haki.naona huruma sana.ila usiniige mimi.huwa nacondomize.wape hi!jirani zako hapo cbe.ntakuja kuwashika.miakafiganiga acha ukicheche, umechoma mia ,umeenda kupima HIV/AIDS. Basi unao na utakufa na umalaya wako. mhuni mkubwa wee. mambo yako ya kishamba.
Kwa mawazo yangu huwezi kupata mke hapa kwani wengi wao Wanachama wa hii JAMII FORUMS wanajifanya wanawake kumbe ni midume kama wewe,nakushauri tafuta sehemu nyingene sio humu kwenye JAMII FORUMS huwezi kupata Mwanamke humu ndani. Mimi niliwahi kumtongoza Mwanachama fulani bint fulani basi alinijia juu kama mkungu wa ndizi unavyosimama na nikimsalimia hanijibu nakushauri usipoteze muda wako kutafuta mke humu ndani hutopata kamwe Yakhe.
ni hilo kwa sasa wadau naombeni maoni
Kwa mawazo yangu huwezi kupata mke hapa kwani wengi wao Wanachama wa hii JAMII FORUMS wanajifanya wanawake kumbe ni midume kama wewe,nakushauri tafuta sehemu nyingene sio humu kwenye JAMII FORUMS huwezi kupata Mwanamke humu ndani. Mimi niliwahi kumtongoza Mwanachama fulani bint fulani basi alinijia juu kama mkungu wa ndizi unavyosimama na nikimsalimia hanijibu nakushauri usipoteze muda wako kutafuta mke humu ndani hutopata kamwe Yakhe.