Huko hospitali daktari kagoma kukusaidia?Habari Mimi ni mwanaume naombeni msaada Kuna mwanamke nilikutana nae nikafanya nae mapenzi kwa Sasa ninapata maumivu wakati wa kukojoa pia maumivu chini ya kitovu na pia wakati wa kukojoa ,pia maumivu wakati wa kujamiana nikaenda duka la dawa nikapewa doxyline na dawa nyingine nikatumia kwa siku tano baada ya kumaliza nikaona maumivu Kama yanazidi tu Hadi korodani pia zinauma ndipo nikaamua kwenda hospital nikapima mkojo majibu yakawa Kama ifuatavyo;
Naombeni msaada pleaseView attachment 2814462
Wameniambia hamna shida yeyoteHuko hospitali daktari kagoma kukusaidia?
Wameniambia hamna shida yeyote katika mkojo
Hospital ya wilaya Cipro na diclopaUmeenda hospital au maabara ya mtaani?
Ni hospital ya wilaya nimepewa Cipro na diclopaHuyu kaenda hospital za ovyo ovyo labda, hasa daktar si angekuambia tatizo Nini, Kama dawa au sindano angekuambia au kuandikia dawa gani.
azingatie neno AZUMApole sana
starehe ya sekunde kadhaa, sasa imekulipa ligonjwa la ajabu
meza Azuma
πππππππDaahazingatie neno AZUMA
pole sana
starehe ya sekunde kadhaa, sasa imekulipa ligonjwa la ajabu
meza Azuma
Mmekuja kuifanya azuma kuwa dawa ya STDs wakati ni antibiotic nzuri kwa pneumoniaazingatie neno AZUMA
Azuma, moja ya dawa pendwa na inayotoka zaidi kwa famasi za TabataMmekuja kuifanya azuma kuwa dawa ya STDs wakati ni antibiotic nzuri kwa pneumonia
Mshahara wa dhambi ni mauti nduguHabari Mimi ni mwanaume naombeni msaada Kuna mwanamke nilikutana nae nikafanya nae mapenzi kwa Sasa ninapata maumivu wakati wa kukojoa pia maumivu chini ya kitovu na pia wakati wa kukojoa ,pia maumivu wakati wa kujamiana nikaenda duka la dawa nikapewa doxyline na dawa nyingine nikatumia kwa siku tano baada ya kumaliza nikaona maumivu Kama yanazidi tu Hadi korodani pia zinauma ndipo nikaamua kwenda hospital nikapima mkojo majibu yakawa Kama ifuatavyo;
Naombeni msaada pleaseView attachment 2814462
Acha uzinzi tubu pia mrudie muumba wako. dhambi ni mbaya mbele za Mwenyezi MunguMshahara wa dhambi ni mauti ndugu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa unataka nini?Wameniambia hamna shida yeyote