Msaada wa matibabu

Benaire

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2011
Posts
1,962
Reaction score
311
Habari wana JF
Mimi ni kijana wa kiume...kwa muda wa wiki kadhaa sasa nimekuwa nawashwa kwenye korodani,hali hii imezidi na sasa kumetokea michubuko upande wa pembe za korodani (kulia na kushoto)...na hali ya ngozi kuwasha imepanda hadi kwenye uume sasa.....nimekuwa nikiambiwa mara maji ya chumvi,nimeacha kutumia holla...
SASA SIJAJUA TATIZO NI NINI...NAOMBA USHAURI ILI NIPATE WALAU CLUES WAPI PA KUANZIA.
Natanguliza Shukrani.
Benaire.
 
POLE MAN.
>Upo sehemu gani isiyo na hospital?
>Nenda kamuone daktar akufanyie vipimo.
>Kwani unaweza pewa majibu yakakupa wasisi na presha zisizozamsingi.
 
Unajisikiaje ukiwa unajikuna? Je kuna vipele nakama vipo vinatoa maji au nivikavu?
 
POLE MAN.
>Upo sehemu gani isiyo na hospital?
>Nenda kamuone daktar akufanyie vipimo.
>Kwani unaweza pewa majibu yakakupa wasisi na presha zisizozamsingi.

Nimeuliza ili kupata msaada wa kujua hata naweza communicate vipi na daktari...pia kuona wataalam wa hapa wananishauri nini....thanx
 
Unajisikiaje ukiwa unajikuna? Je kuna vipele nakama vipo vinatoa maji au nivikavu?

Nikijikuna napata shufaa....hakuna vipele ila upande wa mpaka wa korodani na paja kuna michubuko ambayo ukinyanyua korodani kuitazama unakuwa kama unapachana...maumivu yake....!
Only that mkuu.....
 
Sijakuelewe ukisema shufaa unamaanisha nin? Ila jaribu kutumia "cotrimozole" hii ni dawa yakupaka itakusaidia na kila ukitoka kuoga ujifute vyema huko chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…