Benaire
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,962
- 311
Habari wana JF
Mimi ni kijana wa kiume...kwa muda wa wiki kadhaa sasa nimekuwa nawashwa kwenye korodani,hali hii imezidi na sasa kumetokea michubuko upande wa pembe za korodani (kulia na kushoto)...na hali ya ngozi kuwasha imepanda hadi kwenye uume sasa.....nimekuwa nikiambiwa mara maji ya chumvi,nimeacha kutumia holla...
SASA SIJAJUA TATIZO NI NINI...NAOMBA USHAURI ILI NIPATE WALAU CLUES WAPI PA KUANZIA.
Natanguliza Shukrani.
Benaire.
Mimi ni kijana wa kiume...kwa muda wa wiki kadhaa sasa nimekuwa nawashwa kwenye korodani,hali hii imezidi na sasa kumetokea michubuko upande wa pembe za korodani (kulia na kushoto)...na hali ya ngozi kuwasha imepanda hadi kwenye uume sasa.....nimekuwa nikiambiwa mara maji ya chumvi,nimeacha kutumia holla...
SASA SIJAJUA TATIZO NI NINI...NAOMBA USHAURI ILI NIPATE WALAU CLUES WAPI PA KUANZIA.
Natanguliza Shukrani.
Benaire.