Msaada wa matumizi ya habati soda

Markomx

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2016
Posts
703
Reaction score
702
wakuu nimepitia duka flani ikabidi ninunue habati soda maana hua naskia ni dawa nzuri kwa magonjwa mengi

wiki hii tumbo linanisumbua

ningependa kujua dozi ya hii dawa iko vipi?

msaada
 
wakuu nimepitia duka flani ikabidi ninunue habati soda maana hua naskia ni dawa nzuri kwa magonjwa mengi

wiki hii tumbo linanisumbua

ningependa kujua dozi ya hii dawa iko vipi?

msaada
Chukua kijiko kimoja cha habatsoda changanya na vijiko viwili vya asali mbichi, tumia asubuhi na jioni, utapona inshallah
 
Chukua kijiko kimoja cha habatsoda changanya na vijiko viwili vya asali mbichi, tumia asubuhi na jioni, utapona inshallah

asante mkuu,ipi ni nzuri ya mafuta au unga?samahani kwa usumbufu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…