Baba Nla
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 772
- 2,505
Wakuu, poleni na Lockdown ya mtandao hope watarudisha baada ya wanachokitaka kutimia.
Ninataka kuweka tangazo katika moja ya gazeti hapa nchini, hii ikiwa ni hatua ya pili katika jambo ninalolifuatilia, ni hatua ya lazima kwamba tangazo lazima liwepo kwenye gazeti then utaratibu mwingine uendelee.
Nimekuja hapa kuomba yoyote mwenye mawasiliano ya simu na gazeti lolote iwe Majira, Mtanzania au HabariLeo niwasiliane nao maana nimetumia njia ya Email naona hazijibiwi.
Natanguliza Shukrani.
Ninataka kuweka tangazo katika moja ya gazeti hapa nchini, hii ikiwa ni hatua ya pili katika jambo ninalolifuatilia, ni hatua ya lazima kwamba tangazo lazima liwepo kwenye gazeti then utaratibu mwingine uendelee.
Nimekuja hapa kuomba yoyote mwenye mawasiliano ya simu na gazeti lolote iwe Majira, Mtanzania au HabariLeo niwasiliane nao maana nimetumia njia ya Email naona hazijibiwi.
Natanguliza Shukrani.