Msaada wa mawazo emergency........

Msaada wa mawazo emergency........

vkeisy2006

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2010
Posts
229
Reaction score
99
Kuna rafiki yangu ameolewa miaka 5iliyopita amepata tatizo anashindwa alitatuaje coz bado hata hospitali hajaenda alianza period tarehe 29.03.2010...baada ya.....hapo akakutana kimwili na mume wake na pia anamwanaume mwingine nje...sasa baada ya period tarehe 11 amekutana na huyo mwanaume wake wa nje sasa mpaka leo hajaon a period yake kupima na UPT...imeonyesha positive....SWALI NI HILI...je possibility kubwa mimba itakua ya nani,mume au wa nje..naomba jibu hili liwe kulingana na zile siku za hatari...na je vipimo vile vya hospitali huwa vinaonyesha mimba ina muda gani...yani je huwa vinaonyesha mimba ina siku ngapi?.........................
 
Kuna rafiki yangu ameolewa miaka 5iliyopita amepata tatizo anashindwa alitatuaje coz bado hata hospitali hajaenda alianza period tarehe 29.03.2010...baada ya.....hapo akakutana kimwili na mume wake na pia anamwanaume mwingine nje...sasa baada ya period tarehe 11 amekutana na huyo mwanaume wake wa nje sasa mpaka leo hajaon a period yake kupima na UPT...imeonyesha positive....SWALI NI HILI...je possibility kubwa mimba itakua ya nani,mume au wa nje..naomba jibu hili liwe kulingana na zile siku za hatari...na je vipimo vile vya hospitali huwa vinaonyesha mimba ina muda gani...yani je huwa vinaonyesha mimba ina siku ngapi?.........................

Ngoja mtoto azaliwe halafu ufanye DNA.Wala usisumbuke kuewaza kitu hicho kila mtu atakuja theory yake,UNAONAJE?
 
Tarehe 29 period, na tarehe 11 mambo fulani, hiyo ni mimba ya jamaa 80%. Tarehe 29 mpaka 11 hizo ni siku 14 kamili na ndio siku ya ovulation kikawaida hata kama alichelewa ku ovulate tuseme kesho yake bado mimba itatungwa tu manake hao jamaa wanakaa mda hadi siku saba kwenye follopian tube!
 
Kuna rafiki yangu ameolewa miaka 5iliyopita amepata tatizo anashindwa alitatuaje coz bado hata hospitali hajaenda alianza period tarehe 29.03.2010...baada ya.....hapo akakutana kimwili na mume wake na pia anamwanaume mwingine nje...sasa baada ya period tarehe 11 amekutana na huyo mwanaume wake wa nje sasa mpaka leo hajaon a period yake kupima na UPT...imeonyesha positive....SWALI NI HILI...je possibility kubwa mimba itakua ya nani,mume au wa nje..naomba jibu hili liwe kulingana na zile siku za hatari...na je vipimo vile vya hospitali huwa vinaonyesha mimba ina muda gani...yani je huwa vinaonyesha mimba ina siku ngapi?.........................
Nalia....... nalia......... mwanaume mwenzangu anavyoibiwa halali yake hivi lini sisi wanadamu tutaogopa kufanya hizi dhambi kubwa kubwa na ndogo ndogo ili tuwe wakamilifu tayari tayari kukutana na mola huku hali tukiwa wasafi kwenye roho zetu na viwiliwili vyetu.
Hii hali kwa kweli inasikitisha sana manake sasa binadamu sisi tunachukulia suala la kawaida sana.
 
Acheni kushauriana umalaya!yaani yupo kwenye ndoa na hapohapo ana mwanaume mwingine!
Shame on her!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Acheni kushauriana umalaya!yaani yupo kwenye ndoa na hapohapo ana mwanaume mwingine!
Shame on her!!!!!!!!!!!!!!!!
Sikumbuki kukuona ukikemea wanaume wenye dilema kama hizi!I stand to be corrected though.....!
 
Kuna rafiki yangu ameolewa miaka 5iliyopita amepata tatizo anashindwa alitatuaje coz bado hata hospitali hajaenda alianza period tarehe 29.03.2010...baada ya.....hapo akakutana kimwili na mume wake na pia anamwanaume mwingine nje...sasa baada ya period tarehe 11 amekutana na huyo mwanaume wake wa nje sasa mpaka leo hajaon a period yake kupima na UPT...imeonyesha positive....SWALI NI HILI...je possibility kubwa mimba itakua ya nani,mume au wa nje..naomba jibu hili liwe kulingana na zile siku za hatari...na je vipimo vile vya hospitali huwa vinaonyesha mimba ina muda gani...yani je huwa vinaonyesha mimba ina siku ngapi?.........................



Duh,
Hii ka-PM Maindainda anaweza kukushauri vizuri.
 
Kuna rafiki yangu ameolewa miaka 5iliyopita amepata tatizo anashindwa alitatuaje coz bado hata hospitali hajaenda alianza period tarehe 29.03.2010...baada ya.....hapo akakutana kimwili na mume wake na pia anamwanaume mwingine nje...sasa baada ya period tarehe 11 amekutana na huyo mwanaume wake wa nje sasa mpaka leo hajaon a period yake kupima na UPT...imeonyesha positive....SWALI NI HILI...je possibility kubwa mimba itakua ya nani,mume au wa nje..naomba jibu hili liwe kulingana na zile siku za hatari...na je vipimo vile vya hospitali huwa vinaonyesha mimba ina muda gani...yani je huwa vinaonyesha mimba ina siku ngapi?.........................

Pole sana Vkeisy (jina lako gumu kweli).

Vipi ilikuwaje ukacheza mechi za mchangani bila kuvaa njumu? Nakushauri kafanye abortion then next time tumia kondom ukiamua kumsaliti mumeo.
 
Kuna rafiki yangu ameolewa miaka 5 iliyopita amepata tatizo anashindwa alitatuaje coz bado hata hospitali hajaenda alianza period tarehe 29.03.2010...baada ya.....hapo akakutana kimwili na mume wake na PIA ana Mwanaume mwingine nje.

Mwambie ajiue tu maana siku yake ya '40' ndo imeshafika. Kama ni wewe mwenyewe, well, I don't know what to advice you
 
mwambie huyo rafiki yako aache ukicheche.....tena na wewe kam ushoga wako na wake ni wa ukicheche uache mara moja####
 
Kuna rafiki yangu ameolewa miaka 5iliyopita amepata tatizo anashindwa alitatuaje coz bado hata hospitali hajaenda alianza period tarehe 29.03.2010...baada ya.....hapo akakutana kimwili na mume wake na pia anamwanaume mwingine nje...sasa baada ya period tarehe 11 amekutana na huyo mwanaume wake wa nje sasa mpaka leo hajaon a period yake kupima na UPT...imeonyesha positive....SWALI NI HILI...je possibility kubwa mimba itakua ya nani,mume au wa nje..naomba jibu hili liwe kulingana na zile siku za hatari...na je vipimo vile vya hospitali huwa vinaonyesha mimba ina muda gani...yani je huwa vinaonyesha mimba ina siku ngapi?.........................

yaani yule aliyekuwa anakusumbua unamlisha na kumpa nauli ndo umeamua kumsaliti utoke nje ya ndoa kabisa...duh, we kiboko...ndo maana jamaa alikuwa hana future na wewe aisee. mtu akifanya kosa kama hili, ni kwamba amepakua ugali sahani nzima, anatakiwa aule hadi tonge la mwisho, kama mbona ina pilipili, chumvi nyingi, sijui ina nini itabidi ugali uishe...umeligoroga, itabidu ukubali kulinywa lote kisibaki kitu. hapo ndo wazinzi na waasherati ndo watapata akili.
 
Kuna rafiki yangu ameolewa miaka 5iliyopita amepata tatizo anashindwa alitatuaje coz bado hata hospitali hajaenda alianza period tarehe 29.03.2010...baada ya.....hapo akakutana kimwili na mume wake na pia anamwanaume mwingine nje...sasa baada ya period tarehe 11 amekutana na huyo mwanaume wake wa nje sasa mpaka leo hajaon a period yake kupima na UPT...imeonyesha positive....SWALI NI HILI...je possibility kubwa mimba itakua ya nani,mume au wa nje..naomba jibu hili liwe kulingana na zile siku za hatari...na je vipimo vile vya hospitali huwa vinaonyesha mimba ina muda gani...yani je huwa vinaonyesha mimba ina siku ngapi?.........................

duh! kimewaka! haya matumbo ya opposition gender yanafichaga mambo mengi kweli. ukisoma sredi kama hii ndio mara unajishtukia unampiga chabo mtoto wako mwenyewe akiwa bafuni. (unataka kusibitisha kama wako)
 
Mshindwe mambo gani sasa haya tunashauriana? mie nilijua mtu anatatizo la haja? kwa mtaji huu iko siku atakurupuka mtu anadai anataka ushauri anampenda mwanaume mwenzake :angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry:
 
Mengine yatapata washauri wazuri,ila MAISHA KWANZA,mwambie akapime HIV kwanza,hayo mengine ni solvable,kama yuko negative mwambie ani PM nina exact case!Kama ni positive mwambie amuokoe mume na kwa kipindi hiki amkalie mbali jamaa yetu isije ikaonekana kuwa yeye ndie kauleta. Nina furaha kuwa siku hizi kina dada hawaoni soo-kusema ninapigia miguu 2 kama Ronaldo,tena bila njumu wala kinga! Duuu hii dunia tunaimaliza wenyewe!
 
Hii thread inazidi kunikumbusha umuhimu wa DNA kwa watoto ingawa majority ya SHEs walinipinga

Vkessy, subiri akizaa ndio utajua maana ya "mtoto mtembezi atakula miguu yake"!!
 
Hii thread inazidi kunikumbusha umuhimu wa DNA kwa watoto ingawa majority ya SHEs walinipinga

Vkessy, subiri akizaa ndio utajua maana ya "mtoto mtembezi atakula miguu yake"!!

De novo, Hivi hii huduma DNA kwa TZ inapatikana wapi na inapima NINI zaidi ili kufikia conclusion? how accurate?
 
Back
Top Bottom