Msaada wa mawazo emergency........

Msaada wa mawazo emergency........

De novo, Hivi hii huduma DNA kwa TZ inapatikana wapi na inapima NINI zaidi ili kufikia conclusion? how accurate?
ipo kwa mkemia mkuu wa serikali, inapima DNA kufikia konklushen.... accuracy ya DNA ni zaidi ya 99%... kumbuka its the machine that does the analysis
 
inapima DNA kufikia konklushen.... accuracy ya DNA ni zaidi ya 99%...

Yaani wakati wanapima DNA - wanapima nini haswa? I mean, hakuna uwezekano wa majibu kuwa na errors (wewe kuwa na same results na mdogo wako)
 
Kuna rafiki yangu ameolewa miaka 5iliyopita amepata tatizo anashindwa alitatuaje coz bado hata hospitali hajaenda alianza period tarehe 29.03.2010...baada ya.....hapo akakutana kimwili na mume wake na pia anamwanaume mwingine nje...sasa baada ya period tarehe 11 amekutana na huyo mwanaume wake wa nje sasa mpaka leo hajaon a period yake kupima na UPT...imeonyesha positive....SWALI NI HILI...je possibility kubwa mimba itakua ya nani,mume au wa nje..naomba jibu hili liwe kulingana na zile siku za hatari...na je vipimo vile vya hospitali huwa vinaonyesha mimba ina muda gani...yani je huwa vinaonyesha mimba ina siku ngapi?.........................

vkeisy2006 bana....hivi hao marafiki zako huwa unawatoa wapi?....yule aliyekuwa anatembea na mume wa rafiki yake ambae nae (huyo mwizi) ni rafiki yako, na anaeibiwa ni shogako pia.....ameshaacha? kwa nini unakuwa na marafiki mashangingi namna hii? mnakutana wapi?....huwezi kuachana nao?.....kuna msemo waswahili wa zamani walisema ndege wa aina moja.......:mad2:
 
Kuna rafiki yangu ameolewa miaka 5iliyopita amepata tatizo anashindwa alitatuaje coz bado hata hospitali hajaenda alianza period tarehe 29.03.2010...baada ya.....hapo akakutana kimwili na mume wake na pia anamwanaume mwingine nje...sasa baada ya period tarehe 11 amekutana na huyo mwanaume wake wa nje sasa mpaka leo hajaon a period yake kupima na UPT...imeonyesha positive....SWALI NI HILI...je possibility kubwa mimba itakua ya nani,mume au wa nje..naomba jibu hili liwe kulingana na zile siku za hatari...na je vipimo vile vya hospitali huwa vinaonyesha mimba ina muda gani...yani je huwa vinaonyesha mimba ina siku ngapi?.........................

Mshahara wa dhambi...
 
Back
Top Bottom