Msaada wa mawazo emergency........

De novo, Hivi hii huduma DNA kwa TZ inapatikana wapi na inapima NINI zaidi ili kufikia conclusion? how accurate?
ipo kwa mkemia mkuu wa serikali, inapima DNA kufikia konklushen.... accuracy ya DNA ni zaidi ya 99%... kumbuka its the machine that does the analysis
 
inapima DNA kufikia konklushen.... accuracy ya DNA ni zaidi ya 99%...

Yaani wakati wanapima DNA - wanapima nini haswa? I mean, hakuna uwezekano wa majibu kuwa na errors (wewe kuwa na same results na mdogo wako)
 

vkeisy2006 bana....hivi hao marafiki zako huwa unawatoa wapi?....yule aliyekuwa anatembea na mume wa rafiki yake ambae nae (huyo mwizi) ni rafiki yako, na anaeibiwa ni shogako pia.....ameshaacha? kwa nini unakuwa na marafiki mashangingi namna hii? mnakutana wapi?....huwezi kuachana nao?.....kuna msemo waswahili wa zamani walisema ndege wa aina moja.......:mad2:
 

Mshahara wa dhambi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…