jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,536
Yes nilimdhamini polisi na mlalamikaji ameomba kesi ifikishwe mahakamani ndo nataka kufahamu nikifika mahakamani nafasi yangu itakuwa ipiUlimdhamini polisi? Kama Ni hivo Hapo udhamini wako ushaisha kesi ikifika mahakamani unatakiwa kumdhamini upya Kama unataka kuendelea kumdhaminj
Maana yule askari amenipigia simu amesema kesho niripoti kituoni yule mlalamikaji ameomba kesi ipelekwe mahakamaniUlimdhamini polisi? Kama Ni hivo Hapo udhamini wako ushaisha kesi ikifika mahakamani unatakiwa kumdhamini upya Kama unataka kuendelea kumdhaminj
Hapo inachotakiwa Ni Wew ufike na mtuhumiwa Hapo kituoni Ila mngeangalia Ni namna gani mmalizane nje ya mahakamaMaana yule askari amenipigia simu amesema kesho niripoti kituoni yule mlalamikaji ameomba kesi ipelekwe mahakamani
Muulize kesi inaenda mahakama ipi ili uandae documents ukamdhamini tena mahakamaniMaana yule askari amenipigia simu amesema kesho niripoti kituoni yule mlalamikaji ameomba kesi ipelekwe mahakamani
Ikowa mlalamikaji atagoma maongezi na kesi ikafika mahakamani nni kitanipata mmiHapo inachotakiwa Ni Wew ufike na mtuhumiwa Hapo kituoni Ila mngeangalia Ni namna gani mmalizane nje ya mahakama
Unatakiwa kutekeleza masharti ya dhamana kwa kuhakikisha anafika kituoni au mahakamani kwa siku na tarehe iliyopangwa bila kukosa na kama kuna dharura inatakiwa utoe taarifa mapema juu ya mshtakiwa uliyemdhamini ili usije ukakamatwa au kushtakiwa badala yake au mali uliyoweka dhamana kutaifishwa sababu ya mshtakiwa kuruka dhamanaMsaada tutani .... ipi nafasi ya mdhamini ikiwa kesi itafikishwa mahakamani ......... yaani ikiwa mmi nime mdhamini na mlalamikaji akasema kesi iende mahakamani mimi kama mdhamini wa mtuhumiwa natakiwa nifanyeje .... msaada tafadhali
sasa kama mshtakiwa haoni sababu ya kumalizana na mlalamikaji kwa nini mdhamini ateseke?Hapo inachotakiwa Ni Wew ufike na mtuhumiwa Hapo kituoni Ila mngeangalia Ni namna gani mmalizane nje ya mahakama
nafasi yako kama mdhamini katika dhamana ya polisi inayotokewa na polisi inakuwa imeishia hapo. Nahautakuwa tena mdhamini wake kwa upande wa mahakamani labda ukimdhamini tena mahakamani.Msaada tutani .... ipi nafasi ya mdhamini ikiwa kesi itafikishwa mahakamani ......... yaani ikiwa mmi nime mdhamini na mlalamikaji akasema kesi iende mahakamani mimi kama mdhamini wa mtuhumiwa natakiwa nifanyeje .... msaada tafadhali