jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,536
Msaada tutani .... ipi nafasi ya mdhamini ikiwa kesi itafikishwa mahakamani ......... yaani ikiwa mmi nime mdhamini na mlalamikaji akasema kesi iende mahakamani mimi kama mdhamini wa mtuhumiwa natakiwa nifanyeje .... msaada tafadhali