mwasambili
Senior Member
- Oct 28, 2013
- 151
- 77
Heshima kwenu ndugu zangu,,
nimiaka mitano sasa nilihifadhi dola 200 za marekani,sasa nilipata elimu kidogo juu ya hisa(haikunitosheleza),sasa naomba ushauri nizibadishe hizi fedha kuwa za kitanzania halafu ninunue hisa 300 katika benki ya mkombozi au niendelee kuzitunza?,kwani kwa sasa hawa mkombozi wanauza hisa moja Tsh1000,na kila anaechukua aanzie na hisa 100,na tafadhali kwa baada ya miaka miwili hadi mitani naweza kufaidika vipi.
natanguliza shukrani na Mungu azidi kuwapa uhai
nimiaka mitano sasa nilihifadhi dola 200 za marekani,sasa nilipata elimu kidogo juu ya hisa(haikunitosheleza),sasa naomba ushauri nizibadishe hizi fedha kuwa za kitanzania halafu ninunue hisa 300 katika benki ya mkombozi au niendelee kuzitunza?,kwani kwa sasa hawa mkombozi wanauza hisa moja Tsh1000,na kila anaechukua aanzie na hisa 100,na tafadhali kwa baada ya miaka miwili hadi mitani naweza kufaidika vipi.
natanguliza shukrani na Mungu azidi kuwapa uhai