Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Wanasheria,
Nnavyo andika hivi nyumbani kunamgogoro mkubwa,mama yangu ni mjane,ambae marehem alimuachia nyumba na watt wawili kwenye ndoa.
Tofauti na hapo baba alizaa na wakina mama wengine zaidi ya5 na kunajumla ya watt zaidi ya 9 ambao walipatikana..
Tangu baba afariki hakukuwa na tatzo lolote, haijulikan nn kimetokea wameibuka ghafula na kutaka kuuza nyumba, wamemtukana mama,na kufanya fujo nyumban.
Hoja yangu kwenu wanasheria,ni je naweza kufanya nini kukomesha ghasia hii? 2,mm nko dar na mama yupo Geita, ntawezaje kumsaidia nikiwa huku dar? 3,nafac ya hao watt ipoje kwenye hyo mali maana wosia upo kimya?
Naombeni msaada
Nnavyo andika hivi nyumbani kunamgogoro mkubwa,mama yangu ni mjane,ambae marehem alimuachia nyumba na watt wawili kwenye ndoa.
Tofauti na hapo baba alizaa na wakina mama wengine zaidi ya5 na kunajumla ya watt zaidi ya 9 ambao walipatikana..
Tangu baba afariki hakukuwa na tatzo lolote, haijulikan nn kimetokea wameibuka ghafula na kutaka kuuza nyumba, wamemtukana mama,na kufanya fujo nyumban.
Hoja yangu kwenu wanasheria,ni je naweza kufanya nini kukomesha ghasia hii? 2,mm nko dar na mama yupo Geita, ntawezaje kumsaidia nikiwa huku dar? 3,nafac ya hao watt ipoje kwenye hyo mali maana wosia upo kimya?
Naombeni msaada