Msaada wa mawazo kwa hili jambo

Msaada wa mawazo kwa hili jambo

Bijang

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2016
Posts
368
Reaction score
724
Amesimuliwa wife akiniomba ushauri nikaona nami nililete humu nipate msaada wa MAWAZO Kwan JF ni kisima cha maarifa HATUSHINDWII

Wife anafanya Kaz kwenye taasisi moja inayoshughulika na watoto, Sasa Kuna mtoto wa kike mmoja kamsimulia yanayomsibu ipo hivi huyo mtoto wa kike tumuite Jane(sio jina lake halisi)


Jane anasoma kidato cha nne ktk shule moja ya kutwa ya serikal, anaishi na mama mdogo wake (mdogo wa mama mzazi wa Jane) na baba mdogo. Mama mdogo anajishughukisha na Biashara Huwa anarud saa tatu usiku baba mdogo hana kazi yupo home tu.

Sasa baba mdogo amemtaman kimapenz huyu Jane ila Jane hataki, na anamtishia akiendelea kukataa atamfukuza home, na usiku mke akiwa amelala Baba mdogo Huwa anamfata chumban kwake na jane akitaka wafanyie mapemzi Jane Huwa anagoma.


Sasa hili suala limezidi anaogopa kumwambia mama mdogo mana ni mkali na anajua akimwambia atafukuzwa na kwao Jane mama mzazi hana uwezo wa kumsomesha ni mgonjwa mda mrefu, baba mzazi alishafariki siku nyingi akiwa la pili Jane, dada yake na kaka yake nao hawajiwez hawana kibarua cha kueleweka, na hao ndugu wanaishi mkoan tofauto na huu wa Jane.

Jane Aliomba akakae hostel baada ya kumshirikisha mama mmoja na kuahidi atamlipia gharama lkn baba mdogo akagoma, Sasa kinachosaidia Sasa hivi anasavaivu Kuna rafiki wakike wa Jane Huwa anaenda kwa akina Jane wanasoma Hadi usiku saa nne, lakini akiondoka bado shuhul ipo pale pale.

Na pia Jane anaogopa kuipeleka shuleni kesi sababu anaogopa watamwita baba mdogo au mama mdogo afu itajulikana na itakuwa mwisho wa yy kuishi pale, na lingine Jane analohofia hataki kuondoka kwa shari pale kwa mama mdogo na muda ulobaki ni michache amalize masomo yake , Sasa yupo njia panda.

Natanguliza shukran.
Naomben ushauri kwa hili wakuu
 
Amesimuliwa wife akiniomba ushauri nikaona nami nililete humu nipate msaada wa MAWAZO Kwan JF ni kisima cha maarifa HATUSHINDWII

Wife anafanya Kaz kwenye taasisi moja inayoshughulika na watoto, Sasa Kuna mtoto wa kike mmoja kamsimulia yanayomsibu ipo hivi huyo mtoto wa kike tumuite Jane(sio jina lake halisi)


Jane anasoma kidato cha nne ktk shule moja ya kutwa ya serikal, anaishi na mama mdogo wake (mdogo wa mama mzazi wa Jane) na baba mdogo. Mama mdogo anajishughukisha na Biashara Huwa anarud saa tatu usiku baba mdogo hana kazi yupo home tu.

Sasa baba mdogo amemtaman kimapenz huyu Jane ila Jane hataki, na anamtishia akiendelea kukataa atamfukuza home, na usiku mke akiwa amelala Baba mdogo Huwa anamfata chumban kwake na jane akitaka wafanyie mapemzi Jane Huwa anagoma.


Sasa hili suala limezidi anaogopa kumwambia mama mdogo mana ni mkali na anajua akimwambia atafukuzwa na kwao Jane mama mzazi hana uwezo wa kumsomesha ni mgonjwa mda mrefu, baba mzazi alishafariki siku nyingi akiwa la pili Jane, dada yake na kaka yake nao hawajiwez hawana kibarua cha kueleweka, na hao ndugu wanaishi mkoan tofauto na huu wa Jane.

Jane Aliomba akakae hostel baada ya kumshirikisha mama mmoja na kuahidi atamlipia gharama lkn baba mdogo akagoma, Sasa kinachosaidia Sasa hivi anasavaivu Kuna rafiki wakike wa Jane Huwa anaenda kwa akina Jane wanasoma Hadi usiku saa nne, lakini akiondoka bado shuhul ipo pale pale.

Na pia Jane anaogopa kuipeleka shuleni kesi sababu anaogopa watamwita baba mdogo au mama mdogo afu itajulikana na itakuwa mwisho wa yy kuishi pale, na lingine Jane analohofia hataki kuondoka kwa shari pale kwa mama mdogo na muda ulobaki ni michache amalize masomo yake , Sasa yupo njia panda.

Natanguliza shukran.
Naomben ushauri kwa hili wakuu
Amtafute rafiki kipenzi wa mama mdogo,au Mtumishi mwaminifu wa dini .amshirikishe jambo Hilo kirafiki.
 
Amesimuliwa wife akiniomba ushauri nikaona nami nililete humu nipate msaada wa MAWAZO Kwan JF ni kisima cha maarifa HATUSHINDWII

Wife anafanya Kaz kwenye taasisi moja inayoshughulika na watoto, Sasa Kuna mtoto wa kike mmoja kamsimulia yanayomsibu ipo hivi huyo mtoto wa kike tumuite Jane(sio jina lake halisi)


Jane anasoma kidato cha nne ktk shule moja ya kutwa ya serikal, anaishi na mama mdogo wake (mdogo wa mama mzazi wa Jane) na baba mdogo. Mama mdogo anajishughukisha na Biashara Huwa anarud saa tatu usiku baba mdogo hana kazi yupo home tu.

Sasa baba mdogo amemtaman kimapenz huyu Jane ila Jane hataki, na anamtishia akiendelea kukataa atamfukuza home, na usiku mke akiwa amelala Baba mdogo Huwa anamfata chumban kwake na jane akitaka wafanyie mapemzi Jane Huwa anagoma.


Sasa hili suala limezidi anaogopa kumwambia mama mdogo mana ni mkali na anajua akimwambia atafukuzwa na kwao Jane mama mzazi hana uwezo wa kumsomesha ni mgonjwa mda mrefu, baba mzazi alishafariki siku nyingi akiwa la pili Jane, dada yake na kaka yake nao hawajiwez hawana kibarua cha kueleweka, na hao ndugu wanaishi mkoan tofauto na huu wa Jane.

Jane Aliomba akakae hostel baada ya kumshirikisha mama mmoja na kuahidi atamlipia gharama lkn baba mdogo akagoma, Sasa kinachosaidia Sasa hivi anasavaivu Kuna rafiki wakike wa Jane Huwa anaenda kwa akina Jane wanasoma Hadi usiku saa nne, lakini akiondoka bado shuhul ipo pale pale.

Na pia Jane anaogopa kuipeleka shuleni kesi sababu anaogopa watamwita baba mdogo au mama mdogo afu itajulikana na itakuwa mwisho wa yy kuishi pale, na lingine Jane analohofia hataki kuondoka kwa shari pale kwa mama mdogo na muda ulobaki ni michache amalize masomo yake , Sasa yupo njia panda.

Natanguliza shukran.
Naomben ushauri kwa hili wakuu
Watu wenye tabia za hivi wanaumiza sana watoto.Aondoke akajisomee atimize malengo yake.
 
Amesimuliwa wife akiniomba ushauri nikaona nami nililete humu nipate msaada wa MAWAZO Kwan JF ni kisima cha maarifa HATUSHINDWII

Wife anafanya Kaz kwenye taasisi moja inayoshughulika na watoto, Sasa Kuna mtoto wa kike mmoja kamsimulia yanayomsibu ipo hivi huyo mtoto wa kike tumuite Jane(sio jina lake halisi)


Jane anasoma kidato cha nne ktk shule moja ya kutwa ya serikal, anaishi na mama mdogo wake (mdogo wa mama mzazi wa Jane) na baba mdogo. Mama mdogo anajishughukisha na Biashara Huwa anarud saa tatu usiku baba mdogo hana kazi yupo home tu.

Sasa baba mdogo amemtaman kimapenz huyu Jane ila Jane hataki, na anamtishia akiendelea kukataa atamfukuza home, na usiku mke akiwa amelala Baba mdogo Huwa anamfata chumban kwake na jane akitaka wafanyie mapemzi Jane Huwa anagoma.


Sasa hili suala limezidi anaogopa kumwambia mama mdogo mana ni mkali na anajua akimwambia atafukuzwa na kwao Jane mama mzazi hana uwezo wa kumsomesha ni mgonjwa mda mrefu, baba mzazi alishafariki siku nyingi akiwa la pili Jane, dada yake na kaka yake nao hawajiwez hawana kibarua cha kueleweka, na hao ndugu wanaishi mkoan tofauto na huu wa Jane.

Jane Aliomba akakae hostel baada ya kumshirikisha mama mmoja na kuahidi atamlipia gharama lkn baba mdogo akagoma, Sasa kinachosaidia Sasa hivi anasavaivu Kuna rafiki wakike wa Jane Huwa anaenda kwa akina Jane wanasoma Hadi usiku saa nne, lakini akiondoka bado shuhul ipo pale pale.

Na pia Jane anaogopa kuipeleka shuleni kesi sababu anaogopa watamwita baba mdogo au mama mdogo afu itajulikana na itakuwa mwisho wa yy kuishi pale, na lingine Jane analohofia hataki kuondoka kwa shari pale kwa mama mdogo na muda ulobaki ni michache amalize masomo yake , Sasa yupo njia panda.

Natanguliza shukran.
Naomben ushauri kwa hili wakuu
Akiendelea kukaza basi amefaulu katika mitihani wa ngono.

Mwambie asiondoke Ila akaze hapo hapo,Sasa baba mdogo akimfukuza itazungumziwa sababu na naamini sababu ya huyo boya haiwezi kumfukuzisha huyo binti.

Huyu kum baba mdogo ametudharilisha Kweli Sisi WANAUME.

Mkuu mpe huyo binti namba yangu.
 
Jane anapaswa kuchagua kati ya kutwezwa utu wake na kuulinda utu wake. Akitaka atwezwe, akubali ombi la baba mdogo. Kwakuwa hata kama atatoa anachoombwa, bado anaweza kufukuzwa hapo nyumbani na huyohuyo mhusika ili kujilinda na yanayoweza kufuata.

Kuulinda utu wake ni kuamua kuweka wazi jambo hilo na kukubali kuondoka hapo, ikitokea hivyo. Atasaidika tu, Mungu ni wa wote. Asiendelee kujibanza kwenye hali ngumu ya kimaisha aliyonayo na nyumbani kwao. Kuendelea kubaki kimya ni kumpa matumaini baba mdogo kuwa atapata tu. Ndiyo maana he keeps asking and insisting...
 
Back
Top Bottom