Na bahati ni yeye asiyempenda mke, hapo ingekuwa ni mke hampendi mwanaume, mida hii ndoa ingekuwa mchegoni. Mwanamke akishakinai, lazima akutose tu , huwa hawana kuremba hawa viumbe!
Huyu jamaa yako ananishangaza coz nahic hajatulia kbs, kwann alishindwa kumuoa huyo mpnz wake wa mwanzo alieishi nae kwa miaka mitano, na akaenda kumuoa huyo ambae ni mkewe kwa sasa na kipi tena kimemfanya amchukie baada ya wiki moja na kumrudia yule wa mwanzo,binafsi naona huyo jamaa bado ni wa kiume coz kakimbilia kuoa akiwa hajui anachokihitaji maishan,atulie kwa mkewe aache umalaya!
Anaonekana hajutulia tu huyu jamaa kitendo cha kumwacha alieishi nae akaenda akaoa mwingine alafu tena akarudi kwa wazamani means hajitambui bado huyo!angeenda kutafuta mwingine at lest lkn karudia alikotoka yani hajielewi kbs uroho umemzidia tu!Naamini mtoa mada hajatoa full story, but i guess jamaa atakuwa ni materialist na ndio maana akamsahau wake wa zamani na kufunga nae ndoa huyo ambe hakuwa chaguo!