Msaada wa mawazo kwa rafiki yangu!

Msaada wa mawazo kwa rafiki yangu!

Wakuu. Kila anayeleta thread humu, hujidai anaomba msaada kwa ajili ya rafiki yake. Kwanini asiseme kuwa ni yeye binafsi ndio ana matatizo. Teh teh teh WaTZ bwana kazi kusema uongo tu.
 
Na bahati ni yeye asiyempenda mke, hapo ingekuwa ni mke hampendi mwanaume, mida hii ndoa ingekuwa mchegoni. Mwanamke akishakinai, lazima akutose tu , huwa hawana kuremba hawa viumbe!

safi sana kufanya na ni kweli kabisa wanawake wanavumilia sana bt ikifika mahali wamechoka ni ngume sana kugeuka nyuma
 
Huyu jamaa yako ananishangaza coz nahic hajatulia kbs, kwann alishindwa kumuoa huyo mpnz wake wa mwanzo alieishi nae kwa miaka mitano, na akaenda kumuoa huyo ambae ni mkewe kwa sasa na kipi tena kimemfanya amchukie baada ya wiki moja na kumrudia yule wa mwanzo,binafsi naona huyo jamaa bado ni wa kiume coz kakimbilia kuoa akiwa hajui anachokihitaji maishan,atulie kwa mkewe aache umalaya!

Naamini mtoa mada hajatoa full story, but i guess jamaa atakuwa ni materialist na ndio maana akamsahau wake wa zamani na kufunga nae ndoa huyo ambe hakuwa chaguo!
 
mi nahisi jamaa huenda amekutna na mambo ambayo hakuyategemea kuyakuta kwa huy mkewe,so baada ya kufunga ndoa na kukumbana na hvo vijimambo ndo na mapenzi nayo taratiiiibu yakaanza kusepa,dah ndoa hz zina mambo kweli!bora mi niendlee tu kuwepo km mwana fa.
 
Naamini mtoa mada hajatoa full story, but i guess jamaa atakuwa ni materialist na ndio maana akamsahau wake wa zamani na kufunga nae ndoa huyo ambe hakuwa chaguo!
Anaonekana hajutulia tu huyu jamaa kitendo cha kumwacha alieishi nae akaenda akaoa mwingine alafu tena akarudi kwa wazamani means hajitambui bado huyo!angeenda kutafuta mwingine at lest lkn karudia alikotoka yani hajielewi kbs uroho umemzidia tu!
 
Kwanza huyo wa zamani, nashangaa kampokea vipi, ningekuwa mimi ningemtoa mkuku na bastola.
 
Back
Top Bottom