asanteni sana wote mlonisaidia kimawazo ndugu zangu akina kaka na dada zangu siwezi kuwataja wote kwa majina but nimepokea ushauri wenu kwa mikono miwili na nitaufanyia kazi,nimeamua moja ambalo nimeona ni bora na wengi mumenishauri kusoma kwanza na si vinginevyo na ninaachana na hiyo habari ya mapenzi naanza rasmi kitabu ili nisiwe na stress nikiwa chuo wala nisiingie gharama kumgharamia uyo mtoto mwenzangu wa kike pia ili nifaulu na nisije kudisco asanteni sana mlokuwa grteat thinkers than me.acha nisome mana coz yangu yenyew n shda.Mungu awabariki sanaaaa