Msaada wa mawazo: Nampenda sana kiukweli

Msaada wa mawazo: Nampenda sana kiukweli

Nimeshindwa kukuelewa....kaandike upya
 
Achana na mapenzi kijana, kazana na elimu kwanza.
 
Aisee brother acha kututilia aibu
Mwanaume hashindwi kitu eboo!
Andika barua muwekee kwenye mkoba wake
Mtumie meseji mwambie aisome kesho aje na majibu akuwekee kwenye begi
Halafu haya mambo ya wewe unataka awe mpenzi lakini unamuomba urafiki ndo unapoanzia kufeli
NB: jifunze kuandika kiswahili kilichonyooka na uache vifupisho vya watoto wewe siyo pupil tena you are a student now sawa?
 
Nimecheka sana aliposema/uliposema kwenda kwa mganga ili akupe dawa akupende😀.

Kijana mwandiko wako tu unaonesha kwamba una tatizo la kufikiri kabla ya kutenda(mkurupukaji), huna mipango ya baadae kama matokeo ya unachokifanya sasa(future) kwa sababu umeacha hisia ziongoze akili yako, hivyo umekosa umakini na hivyo umeharibu shabaha yako, ukitaka kuthibitisha hilo angalia uandishi wako ulivyo, ulitakiwa utulie uone maana na nini ulichoandika lakini mambo ni tofauti.

Kitu kingine kinachokufanya uonekane ni mtu asiye na mipango ni vile ulivyosema kwamba ulimuomba huyo binti uwe na urafiki wa kimasomo halafu hapo hapo unamtumia ujumbe usiohusiana na ulichomwambia, je! unadhani alikufikiriaje pale uliposhtuka kwamba hajibu baadhi ya jumbe zako na kwanini?
 
Komaa na chuo ila njia rahisi isiyohitaji nguvu ni kwenda Kwa sangoma na fasta atakuita dear
 
Pole sana , ila tafuta hela kwanza , hao mabinti watakuja wenyewe.ni kweli mkuu hela muhim but c unajua bnadamu tuna feelings z mapenz ila hat ela ipo kidgo mkuu sema hil swal kwanz linasumbua kwa sas
 
Komaa na chuo ila njia rahisi isiyohitaji nguvu ni kwenda Kwa sangoma na fasta atakuita dear
haha naogopa kak haitanisumbua kiivo hiyo njia kam kun mtu anauzoefu na hayo mambo mana dah
 
habari zenu wakuu,? naomba kuwasilisha na kusaaidiwa kimawazo juu ya huyu binti jaman kwanza Mimi ni kijana Wa umri miaka 20 ni mwanafunzi Wa chuo hapa jijini dar es salaam kiukweli Mimi nimekuwa mzito sana kutongoza au kuexplain hisia zamhu kwa wadada pale ninapokuwa nimependa au kutaka kuwa n gal friend sijui tatzo nin sasa jaman hii hali inaniumiza sana na kunifanya nijihisi mpweke mda mwingi kwa kuogopa kuongea na mdada,dah imefika hatua kwa huyu binti ambae nimetokea kumpenda saba hapa chuo na ananichanganya sana kichwa changu kwanin ninetokea kumuelewa sana,nasoma nae baadhi ya coz pa1 hivi nilikuwa namwona tu ktk lecture rooms na aehrm zngne na Mara nyingi huwa anashnda peke ake a nap kuwa chuo licha ya hivo nilishindwa kuongea nae hat nikikaa nae karbu huwa naogpa sana kumwonglesha,lakin hivi karbuni nlitafuta namba yake nikapat nikamwomba tuwe marafik katka masom akasema saw lakin akasema hanifahamu ivo Jana nikaonana nae na kuongea nae kidgo tu lakin hat ivo namtumia text anajibu baadh tu zngne hajibu kam Jan jion nlimwomb tuonane hakureply asubuh nimemtumia text y kunuamsh hajareply n text zngne yupo kmya tu ivo Leo cjabahatik kuonana nae chuo.lakin hata Ivo nawaz niraanzaje kunwamvia abt love and relation coz natak awe Wang,haddi nawaza kwenda kwa mganga w jadi kam inawezekan akanisaidia kunip dawa itakayofanya nimpate aise naomb mnisaidie nifanyej kijan mwenzenu naumia sana kwa ajil yake?
Akikubali kuja kuonana na wewe mwambie akufundishe uandishi kwanza.
 
Yani unampenda mtu then kumtamkia unashindwa? teh teh tehh.... basi subiri wanaume watakutamkia
 
Anza mazoezi ya kutongoza
tongoza usio wapenda uone..
ili upunguze woga.....

Huyo pia uache kumtumia sms kutwa hasa kama huna cha maana cha kusema
utazidi kumfanya asikupende
Ni wanawake wachache sana tena wenye kipaji wanaoweza kupenda mvulana wa dizaini hii
 
Back
Top Bottom