Shamba lipo mkoa gani?Wakuu salaam, na mimi pia napanga kulima maharage msimu huu wa kilimo. Sasa swali langu ni je, naweza kupanda maharage kwenye shamba la mahindi? Yaani mahindi nikapanda mwezi huu wa kumi na mbili alafu nikaja kupanda maharage kwenye shamba hilo hilo mwezi wa tatu? Kipindi tayari mahindi yamshakua? Naombeni muongozo wenu wazoefu maana isije nikajichanganya.
Namtumbo RuvumaShamba lipo mkoa gani?