raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Biashara hazianzishwi kienyeji hivyo kama upo serious bruhJamaa kaomba anayejua mtaji kiasi gani wa kuanzia nayo na bei za frem maeneo hayo, sas wew unamlazimisha business plan ya nin sass
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara hazianzishwi kienyeji hivyo kama upo serious bruhJamaa kaomba anayejua mtaji kiasi gani wa kuanzia nayo na bei za frem maeneo hayo, sas wew unamlazimisha business plan ya nin sass
Wabongo ni wajuaji sana. Akili zao mtu akiuliza hapa kamaliza anarudi kulalaJamaa kaomba anayejua mtaji kiasi gani wa kuanzia nayo na bei za frem maeneo hayo, sas wew unamlazimisha business plan ya nin sass
Afadhali wewe umejibu kifupi sensiblyHayo maeneo yapo saturated sana
Low IQ. Jibu maswali niliyouliza mengine niachie.Usipende mteremko hivyo mzeiyaa nenda tabata soma mazingira na upepo, uliza fremu mwenyewe kwa madalali na wapangaji upate uhalisia, rudi na Goba vivyo hivyo. Utelezi usiwe mwingi mzee pambana kaza tacall
Mhh 10m mbona hatutafanya biashara sàsaNdio maana nikakwambia andaa business plan au hujaelewa? minimum capital ni 10M upto 20M, haya andaa business plan sasa
Yah wanalipwa na tayari washapiga machataKwamba zile nyumba za barabarani watazilipa zitoke au?
tembea ukaone na uulize on the ground. achana na mitandao. soko halitafutwi kwa style unayotakaKama unajua minimum capital kwa biashara hii na bei ya fremu maeneo tajwa nijulishe,mengine niachie
Hello,Waungwana nataka kufungua biashara hii maeneo kama Tabata au Goba naomba msaada wa mawazo mtaji mdogo kiasi gani naweza kuanza nao na being za fremu maeneo hayo.
Wenye uzoefu naomba msaada went.
Asanteni
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Biashara za kuuzia walevi hesabu zake ni ngumu sana.
Vijana punguzeni ujuaji. Nimeuliza vitu viwili tu kama unavijua jibu kama hujui tulia na nikasema mengine niachieni. Mnafikiri kuuliza hapa ni kwamba sijui chochote? Mara research blah blah hamjui kama na hii ni sehemu ya research yangu.
Nimesikitika hadi post ya 23 sijapata jibu, ni blabla tu. Humu JF wakati mwingine sio pa kuomba ushauriVijana punguzeni ujuaji. Nimeuliza vitu viwili tu kama unavijua jibu kama hujui tulia na nikasema mengine niachieni. Mnafikiri kuuliza hapa ni kwamba sijui chochote? Mara research blah blah hamjui kama na hii ni sehemu ya research yangu.