lukas charles
Member
- Jan 5, 2017
- 82
- 47
Mimi ni chinga wa wamitumba. Mara nyingi hununua mitumba kwa kusoti bidhaa mojamoja yaani kuchuzi na nimekuwa niki mix bidha
Sasa naona faida kama ni kidogo sana nawaza kununua balo zima ila najiuliza ninunue balo gani lenye kunipa faida na kuisha kwa wakati?
Kwa walio na uzoefu na biashala hii wanisaidie mawazo maendeleo hayana chama"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa naona faida kama ni kidogo sana nawaza kununua balo zima ila najiuliza ninunue balo gani lenye kunipa faida na kuisha kwa wakati?
Kwa walio na uzoefu na biashala hii wanisaidie mawazo maendeleo hayana chama"
Sent using Jamii Forums mobile app