Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 376
- 127
Nina Sh. 1,000,000 hapa. Sasa yaani Kuna mambo mawili yananichanganya Sana hapa.
1. Nitafute uwanja Kwanza kwa ajili ya kujenga au
2. Niingize kwenye kilimo? Kilimo kipi hakina stress jaman dah... Maana nachoka mie au
3. Nifanye Biashara. Biashara gani kwa usawa huu jaman ....
1. Nitafute uwanja Kwanza kwa ajili ya kujenga au
2. Niingize kwenye kilimo? Kilimo kipi hakina stress jaman dah... Maana nachoka mie au
3. Nifanye Biashara. Biashara gani kwa usawa huu jaman ....