Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto zipi nyingi sana ila ili uzione ni bora ukaingia na Changamoto huvary, hivyo kwa practise wewe ingia, make unaweza ambiwa kwamba kuku wanakufa lakini wewe ukaingia na kuku asife hata mmoja, au ukaambiwa hakuna kuku wanao kufa na ukaingia ukajikuta wanateketea wote so kikubwa wewe ingia na pambana kufa na kupona. never give up
Zingatia sana chakula ( kama ukiweza tengeneza cha kwako), Usafi wa banda, na tatu dawa na chanjo. Chanjo ni bora kuliko kutibu na ni rahisi so chanjo za Newcastle na Gomboro ni vyema kuzizingatia. Natumia dakika kama 20 hivi kila siku kuwangalia mifugo yako hiyo itakusaidia kugundua kama kuna tatizo mapema ( know your business). Nakutakia kila la heri huwezi jua beila kujaribu
Hivi Chasha Red worms kwa hapa Tanzania wanapatikana wapi?
mkuu si dhani kama wapo ila ndo najiandaa kwenda kujifunza jinsi ya kuwazalisha so by mwishoni mwa mwaka huu nategemea kuanza