Msaada wa mawazo unahitajika hapa

Mwambie jamaa hakuna sehemu ya kulala.... Nenda nae Lindo mkakeshe wote
 
Inawezekana vipi hilo, kwanza mke unapataje ujasir wa kuniambia upumbavu wa namna hiyo🤣🤣🤣 yani hapo nitakachokifanya nitasema ewaaaah bora umekuja mkuu siku nyingi nilikua nikiongea na wife hapa kuhusu kumchukua dogo. Halafu mtoto na yeye alikuwa msumbufu sana anataka kwenda kwa baba, mke wangu hebu muandae mtoto vizur aondoke na baba yake muda huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…