Msaada wa mawazo wakuu

Msaada wa mawazo wakuu

Jhene Aiko

Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
14
Reaction score
4
naombeni msaada wenu wa mawazo wakuu... kipindi nikiwa o level nilipenda xana kuja kusoma cbg nikiwa advance then nije kusoma cz ya pharmacy hapo baadae nikiw chuo cha kusikitisha baada ya post kutoka mwaka 2014 nikapangwa hgl though nlikua vizur kwny combination ya cbg, sasa tatizo langu ni kuhusu course gani naweza kusomea nikiwa chuo ambayo ina soko sasa hv na mshahara wake uko vizur? imeniwia vigumu kujua nisomee nini cz combi haipo moyon japokua nafaulu vzr tu mitihani yake. kwa wale wanaojua tafadhal nisaidien
 
dah! mkuu pole sana kwa tz ye2, tofauti na kada ya afya na elimu zngne kupata ajra ya 1kwa1 n ngumu sana, hata ualim(elimu) kdogo wa sayanc ndo bado wanafikiriwa na bahat mbaya huna tena sayans,najua hujamalza we kaza buti ufaulu vzr zaid itakusaidia, lkn coz yenye xoko tz ni issue ya ktaifa
 
dah! mkuu pole sana kwa tz ye2, tofauti na kada ya afya na elimu zngne kupata ajra ya 1kwa1 n ngumu sana, hata ualim(elimu) kdogo wa sayanc ndo bado wanafikiriwa na bahat mbaya huna tena sayans,najua hujamalza we kaza buti ufaulu vzr zaid itakusaidia, lkn coz yenye xoko tz ni issue ya ktaifa

duh! axante mkuu
 
Hi, my name is J.K Mushi. I am writer specialized on Language. I have collections books I have written and I need advise how to go about it. This my email in case jimmycyrier@aol.com
 
Back
Top Bottom