Hello wananzengo
Nataka kuanza biashara ya viatu
Sasa naomba ushaur, kati ya viatu vya kike vya mtumba au spesho, au vya kiume mtumba.
Mtaji wangu n 150,000/=
Kwa wajuvi na wazoefu wa hizi biashara kwa wakati huu naombeni ushaur wenu tafafhali.
Thanks in advance.
Nataka kuanza biashara ya viatu
Sasa naomba ushaur, kati ya viatu vya kike vya mtumba au spesho, au vya kiume mtumba.
Mtaji wangu n 150,000/=
Kwa wajuvi na wazoefu wa hizi biashara kwa wakati huu naombeni ushaur wenu tafafhali.
Thanks in advance.