msaada wa mawazo

Lord Lofa

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2011
Posts
2,390
Reaction score
2,396
nilipongeze hili jukwaa kwa kuwa moja ya kichocheo cha maendeleo yetu.hakuna anayependa ku fail ila uwezo ndo unatufanya tushindwe kufikia mapenzi yetu.kuna mdogo wangu anatupa headache familia amemaliza form 6 last year nje ya nchi na amefaulu vizuri akiwa na principal pass 3 katika comb ya EGM sasa tatizo hakuwa na credit pass 3 katika o-level sasa naomba ushauri anaweza kwenda chuo chochote akafanya pre entry afu akajoin kwa kozi za degree,aliseat kutafuta credit,akasome diploma natanguliza shukrani kwa wale wote watakaotoa ushauri wa mawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…