Msaada wa mawazo

Msaada wa mawazo

Peaceful Warrior

Senior Member
Joined
May 28, 2013
Posts
125
Reaction score
28
Kwa wale wenye expirience na masomo ya biashara naomba ushauri wenu..

mi nimepata div1 ya 9 ECA. Economics-C, Commerce-D, Accountancy-B

Ambition yangu kusoma BAF mzumbe if God wishes..

naombeni ushauri kama nimefanya right selection au nimebugi.. pia naombeni mnisuggestie course nzuri kulingana na grade yangu kaka zangu na dada zangu..
 
Back
Top Bottom