Msaada wa mawazo

mtafutaji 1

Member
Joined
Aug 31, 2014
Posts
6
Reaction score
0
Nina wazo la kuanzisha shule ya sekondary, nimeshajenga darasa moja tu, kwa sasa chekechea wanasomea asubuhi, na jioni pre-form tution. Je nitapateje fund kwa ajili kujengea madarasa 7 mengine, uwanja ni heka 4 upo Mwanambaya karibu na Mkuranga.
 
Fundi!!?? Mkuu au umekosea kuuliza swali?
 
Sio fundi, Ni 'FUND' yaani pesa ya kuwekeza mahali pale na kuirudisha kwa aliyetoa kwa makubaliano fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…