M mtafutaji 1 Member Joined Aug 31, 2014 Posts 6 Reaction score 0 Dec 10, 2014 #1 Nina wazo la kuanzisha shule ya sekondary, nimeshajenga darasa moja tu, kwa sasa chekechea wanasomea asubuhi, na jioni pre-form tution. Je nitapateje fund kwa ajili kujengea madarasa 7 mengine, uwanja ni heka 4 upo Mwanambaya karibu na Mkuranga.
Nina wazo la kuanzisha shule ya sekondary, nimeshajenga darasa moja tu, kwa sasa chekechea wanasomea asubuhi, na jioni pre-form tution. Je nitapateje fund kwa ajili kujengea madarasa 7 mengine, uwanja ni heka 4 upo Mwanambaya karibu na Mkuranga.
Ighombe JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 1,181 Reaction score 675 Dec 11, 2014 #2 Fundi!!?? Mkuu au umekosea kuuliza swali?
M mtafutaji 1 Member Joined Aug 31, 2014 Posts 6 Reaction score 0 Dec 11, 2014 Thread starter #3 Sio fundi, Ni 'FUND' yaani pesa ya kuwekeza mahali pale na kuirudisha kwa aliyetoa kwa makubaliano fulani.
Sio fundi, Ni 'FUND' yaani pesa ya kuwekeza mahali pale na kuirudisha kwa aliyetoa kwa makubaliano fulani.