Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,068
- 711
wanabodi
natumaini mu wazima wa afya
ni muda sasa natafuta duka au mtu yeyote anayeuza mbegu za shairi (barley) kwa mkoa wowote Tanzania
Naomba kama kuna mtu mwenye contact anisaidie/au hata kunielekeza
natanguliza shukrani
natumaini mu wazima wa afya
ni muda sasa natafuta duka au mtu yeyote anayeuza mbegu za shairi (barley) kwa mkoa wowote Tanzania
Naomba kama kuna mtu mwenye contact anisaidie/au hata kunielekeza
natanguliza shukrani